wala sijachoka. Hizi hapo juu kwani sio facts? Nimetembelea profile yako nimeona jinsi unavyoshiriki mijadala mingi kuhusu Rwanda na upande gani upo that's all. Kuhusu ile mada yetu ipo pale pale.
Nafikiri toka nijiunge humu sina hata michango inayozidi 10,sasa iyo mingi umeitoa wapi?na kama ni issue ya michango mimi na wewe nani anadeal na haya mambo kuliko mwenzie,je na wewe si mtanzania?zingatia pia hili kati ya posts zangu zote,mbili za hapa uliponileta na takribani kama tatu nne hivi zinagusa ile mada yetu,huku uliponileta sio kwangu sitapajadili,subiri wenyewe watafika.Bado nakuheshimu, nakusubiri kule tunapojadiliana, naamini kuna mambo mengi ya kujifunza baina yetu na naamini hatutafikia huko unapotaka kunipeleka.