Mambo mengine ni kizazi na enzi yake ...
Yaani tunashindwa angalia leo tunakoseana wapi kwa enzi zetu tunaangalia mahusiano ya karne zilizopita...
Leo tujadili elimu yetu, rasmal zinatupeleka pazuri au la.. Siwez nikamjadili karl peter alivyomwadhibu jamaa yetu kisa alitembea na kimada chake...
Imani yangu ni kuwa IMANI IPO NDANI YA MTU KATIKA KUMWAMINI MUNGU.. kanisa, padre, mchungaji nk. naona hawana hatma ya uhusiano wangu na Mungu wangu..
nashukuru wameleta ukristu nikautambua mambo mengine ni yao na ushetani wao
Nakumbuka kuna miaka fulani tuliwasikia wenye akili wakilalamika dharau zimezidi hadi twiga anawekwa kwenye ndege.. Sasa je wakipewa uhuru wa kusimamia misitu itakuwaje... Mvivu kufikiri ataongezewa ujinga tu na anayetafuta maarifa Mungu atambarikia maarifa mengi inategemea focus yetu...
Kwani mwanaume naye huwa hatunzwi na wazazi wake hadi mnasema mtoto umemkuta katunzwa??? Biashara ni biashara tu... Sijawahi ona zawadi inapangwa na comand juu labda biashara tena sio barter trade ya akina vasco da gama bali za karl peters. Kama mahari ni zawadi subiri watakuletea sio uwapangie...
Kuna watu wanajuta kwa nini hawali hivyo vyakula lkn tu mifumo ya maisha inawakataa na makanisa yao na watatamani siku ya kiama wao wajiweke mbele kuwahukumu wengine waliomla mdudu.. ngoja tu tafsiri ya Mungu siku ya mwisho.. utashangaa vice versa is true
Umeambiwa unaishi kinyume cha sheria lkn bado unakaza shingo pesa haitoshi basi ondoka bila kuchukua hela ya serikali.. Kuwa shabiki wa simba shida sana kila kitu kubisha
Baba ana siri zake kuhusu uzazi wake. So usijiforce eti mwanae kabisa..Huenda kakuhurumia tu kuitwa mwanae
Anyway hiyo mali naye alitafuta maana babu yako alimkamia hivyo2 so nawe tafuta uwafadhili au uwakamie wanao
Nafurahi sana kuwa ndani ya jf..
Kuna mtu alisema kama watu akina galileo, newton, plato, henry ford nk wangeishi karne ya leo hii, duniani hapa huenda baadh ya watu wangehamishwa wakaishi sayari yao. Maana penye njia wao wanaleta vizuizi hadi wanakuwa kizuizi chenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.