Wazazi na ndugu wa mke wangu wananikosesha raha

Wakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi wake, nyumba yenyewe nimepanga nyumba viwili na sebule.

Sina raha hata kujiachia na mke wangu siwezi, mwezi wa nne huu hata mzigo sijala maana asubuhi nimeenda kazini, nikirudi jioni watu wamejaa na usiku wanalala sebuleni wengine chumbani.

Nimevurugwa kijana mwenzenu pesa yote ninayopata ambayo tungenunua hata kiwanja inaishia kwenye chakula na wanakula mno. Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.

Ndugu zangu naomba ushauri nifanye nini, nikimbie nyumba au niwafukuze mimi mwenyewe.

Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali

MNISHAURI SANANASOMA COMMENTS ZOTE.
Duuu, aisee Pole sana....Ila hawa watu wa Mpwapwa wana tabia chafu sanaa. Yaani ulivyomtongoza mama mkwe ndo umeharibu kabisa. Maana kukataa huwa ni ngumu...Wengi wao huwa wanajitongozesha
 
Duuu, aisee Pole sana....Ila hawa watu wa Mpwapwa wana tabia chafu sanaa. Yaani ulivyomtongoza mama mkwe ndo umeharibu kabisa. Maana kukataa huwa ni ngumu...Wengi wao huwa wanajitongozesha
Dah mkuu kwa kweli sikuwa nafahamu na nilikosea sana maana nia yangu ilikuwa ni kumfanya aondoke.
 
Wakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi wake, nyumba yenyewe nimepanga nyumba viwili na sebule.

Sina raha hata kujiachia na mke wangu siwezi, mwezi wa nne huu hata mzigo sijala maana asubuhi nimeenda kazini, nikirudi jioni watu wamejaa na usiku wanalala sebuleni wengine chumbani.

Nimevurugwa kijana mwenzenu pesa yote ninayopata ambayo tungenunua hata kiwanja inaishia kwenye chakula na wanakula mno. Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.

Ndugu zangu naomba ushauri nifanye nini, nikimbie nyumba au niwafukuze mimi mwenyewe.

Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥

MNISHAURI SANA🙏🙏🙏🙏NASOMA COMMENTS ZOTE.
Cha misingi tafuta tripu usafiri na mke wako waachie chakula kidogo
 
Wakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi wake, nyumba yenyewe nimepanga nyumba viwili na sebule.

Sina raha hata kujiachia na mke wangu siwezi, mwezi wa nne huu hata mzigo sijala maana asubuhi nimeenda kazini, nikirudi jioni watu wamejaa na usiku wanalala sebuleni wengine chumbani.

Nimevurugwa kijana mwenzenu pesa yote ninayopata ambayo tungenunua hata kiwanja inaishia kwenye chakula na wanakula mno. Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.

Ndugu zangu naomba ushauri nifanye nini, nikimbie nyumba au niwafukuze mimi mwenyewe.

Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥

MNISHAURI SANA🙏🙏🙏🙏NASOMA COMMENTS ZOTE.
Kumbe hata watoto hamna. Yani watu 8 wote unahudumia ww. Na nyumba ni ya kupanga? Sepa Baba. Sepa. Issue ni kazini mkeo anapajua.. Kama unaweza kuhama kikazi fanya ivyooo.
 
Sababu ya msingi ya wazazi kuwa hapo ni ipi? Wapo muda gani?
Kama ni kuwajulia hali tu wiki moja au 2 zinatosha sana.

Akufukuzae hakwambii toka, kwahiyo unachopaswa kufanya hapo ni kukata huduma kama chakula, umeme n.k au kwenda kupanga chumba kimoja mahali halafu unahamisha vitu vyako muhimu, baada ya hapo unawaambia kodi imeisha na huna uwezo wa kuendelea kuishi hapo hivyo kila mtu aangalie namna ya kujisitiri ww na mkeo mnaenda chumba kimoja, unawapa nauli ya safari unawaacha hapo kwa muda.

Hizi tamaduni zetu shida haziangalii uwezo wa mtu.

Kama unauwezo wapangia chumba seble miezi sita wapambane na hali zao lakini iwe mbali na unapoishi.
 
Back
Top Bottom