Recent content by ndoleha

  1. N

    Tumpime Magufuli kwa sifa hizi na nafasi aliyoomba

    Jamani Tanzania jueni kubadilisha driver (Magufuli) sio kupona kwa bus. Bus ni bovu. Systems zote ( engine,gearbox differential na body) ni mbovu kiasi hata aje dereva gani halitaongeza mwendo. CCM wangeanza kutengeneza Engine kwanza (yaani kupitisha Katiba ya Wananchi) tungeelewa wana nia ya...
  2. N

    Raia Mwema: CCM Haijui Ifanye nini na Lowassa

    Kumpitisha Lowassa ni sawasawa na kumvua nguo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hadharani.......bora hata wangevunja muungano hiyo angeelewa
  3. N

    Unafiki wa CCM kumuenzi Nyerere

    Sielewi leo chama tawala kinadai kumuenzi Mwalimu kwa swala moja tu kati ya yote aliyokuwa akipigania Mzee wetu Nyerere la kutaka serikali mbili ktk Jamhuri hii... huu ni utani sana. Nadhani kumuenzi kweli Mwalimu, kwanza warudishe miiko ya viongozi na ikiwezekana kurudisha Azimio la Arusha au...
  4. N

    Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa uongozi mara moja

    Wa Tz tumeshasahau uongozi wa kufuata sheria na katiba na ndio maana mnashangaa CDM wanavyochukua hatua kama sheria au katiba inavyosema. Ccm wametulemaza....hatua huchukuliwa kwa kumuangalia mtu usoni au ni mtoto au ndugu wa mkuwa fulani basi sheria inapindishwa hapo.
  5. N

    Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa uongozi mara moja

    Bora tubaki 500 tanzania nzima kuliko kujaza wanafiki na wachumia tumbo. Tusioneane aibu asilani.....kama huwezi kucheza ngoma yetu basi kaa pembeni
  6. N

    January Makamba afanya majaribio mfumo wa kuripoti Rushwa

    Nyie vipi wana bodi? Ukisharipoti iweje sasa? What matters ni hatua zinazochukuliwa na sio rushwa ngapi na wapi kwa siku. Tunajua mahakama, polisi hospitali, bandarini, maliasili, vyuoni, ardhi, halmashauri na idara lukuki kote kuna rushwa tupu, lakini ni hatua zipi zinazochukuliwa kwa wale...
  7. N

    Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

    Ziwa hili halimhusu mzungu yeyote hivyo ni jukumu la Tanzania na Malawi kukubaliana mgawanyo au matumizi yake uweje. Tumekuwa brainwashed na wakoloni kiasi tunajiona hatuna maamuzi na tunataka kuwaomba waje watutatulie huu mgogoro. Wahusika ni sisi hivyo tutengeneze TREATY yetu sisi na Malawi.
  8. N

    Atakayeiponya CCM itaiangamiza Tanzania!!

    Tatizo la msingi kwa Dar ni hao wasomi na watu wenye upeo mkubwa hawapigi kura kwa sababu tu wanaona ccm wataiba tu kura na kushinda hivyo bora tu usishiriki. Kama tunataka mabadiliko ya kweli, ni wakati sasa kutumia haki yako ya kupiga kura kwa sisi wote kujitokeza kwa wingi kupiga kura anzia...
  9. N

    Urais wa ZZK 2015: Ngoma Ikivuma Sana...!.

    Nadhani nia ya ZZK ni kuwa mgombea binafsi ( hii inakuja kwenye katiba mpya). Hapa anataka ku split kura za CDM ili ccm iwe na kazi nyepesi kuvuka. Anajua CDM hajatosha kupewa mkoba huo wa kugombania uraisi......... Whats pushing him.???????????
  10. N

    Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 2 Jiji la Mwanza

    Matendo yako ndiyo yatakayokuhukumu na sio vinginevyo. Arusha wachagga walitolewa mbona hamkusema....... Vilaza bana
  11. N

    Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 2 Jiji la Mwanza

    Huu ndio uongozi unaotakiwa ambao mbeleni utaleta RESPONSIBILITY kwa kila Kiongozi atakayepewa madaraka fulani lazima a deliver la sivyo anaonnywesha mlango na sio kumwacha chamani aanzishe makundi ( kama magamba wanavyofanya ). Aliyetemwa ataomba upya na akirudi kundini atakuwa kajifunza na...
  12. N

    Hivi kesi ya Mpendazoe imefikia wapi?

    Kwa ushahidi ule Magamba hawachomoi asilani na wakilazimisha basi hukumu hiyo itaingia kwenye Guinness World Book of Records kwani ni ajabu haswa. Tujiandae. tu kwa kurudia uchaguzi.
  13. N

    Ni sawa wizara kutumia kodi ya wananchi kutumika kwenye mazishi ya Kanumba?

    Mi binafsi sioni mchango wa bongo movie kwani haziuziki kimataifa. Ni movie za very low quality na childish stories..mama mkwe hampendi mkwe..wifi hamtaki bi arusi..girlfriend kakumbia umepata mwingine...ujinga ujinga kama huo tu nothing serious. Wapenzi wa movie hizi ni wale wale wa magazeti ya...
  14. N

    JK aenda Uingereza kikazi

    Nchi iko kwenye economic meltdown na huyu jamaa kama haelewi vile... Mi sijui baada ya mwaka tutakuwa wapi
  15. N

    IGP - Mtandao huu ni hatari - Part I

    Jane unatia hofu....Makumbusho ndio Hq ya kamanda wa uvamiaji viwanja....
Back
Top Bottom