vipi slaa na mbowe ambao wewe unawaabudu ni masikini? vipi slaa kushinikiza chama kimlipe shahara na marupurupu mengine kama kusacrifies ubunge kwenda kugombea urais. wewe unafikiri hatujui? think twice.maadamu mwenyewe umejitambulisha kuwa ni masikini basi nakuhakikishia Zitto hafai kuwa Rais wako, yeye alishajitoa kwenye umasikini siku nyingi. Ni fisadi mzuri tu japo mara kadhaa amefanikiwa kuwahadaa watz wasioshughulisha bongo zao kuwa eti ni mpinga ufisadi. Ana mali kuliko umri wake!