Asante Sana kwa mfano huu sikutaka kwenda ndani zaidi ila nataka kukujuza kuwa macho yetu yanatoa rangi ya blue kwa sehemu ambazo mwisho wake huko mbali . Sasa mfano ulio toa huo unausisha layer za chini kabisa za bahari mbili izo .... Kiufupi bila kwenda kisayansi rangi ya maji inayoonekana ni...
Dah.... Inamaana hata mmesahau kale ka definition ka Gas ... (a substance or matter in a state in which it will expand freely to fill the whole of a container, having no fixed shape (unlike a solid) and no fixed volume (unlike a liquid).
Kasema kitu kizito sana hapaswi kuachwa ivyo... hukimuacha bila kujua ukweli nayo ni dhambi.... Hata shuleni kulikuwa na mwalimu mkali na mpole ... so usiogope watu wengine kuwa negative... yaani namaanisha usipende kudekadeka.
Nakupa homework kidogo, kama mtaani kwenu kuna kipofu mtafute jenga naye mazoea ,, Then shika kitu muulize hiki ni Rangi gani ?..... Ukipata jibu Rudi kwenye uzi huu sema alikujibu nini....
Usipende kusoma kitabu kimoja (Bible) soma vitabu na source mbalimbali za taarifa ili ufanye tafsiri sahii ya kitu unachoweka ndani ya kichwa chako.........
Nakupa mfano mwepesi sana usipotafakari basi ukalale: Maji ya Ziwa , Maji ya Bahari ukiwa mbali huonekana Blue but ukisogea ukayachota yanakuwa Hayana rangi (colorless ) Hii inakuonyesha sehemu yoyote yenye kina kirefu ikipata mwanga kwasababu inakuwa aina mwisho kwa upeo wa macho yako basi...
Rudi home bro acha kung'ang'ania kwa watu...... Unataka haki utadhani huko kwenu...... hata wenyewe wanaumia wametumia hela zao vizuri wameendeleza taifa lao wenzao kina sie tunatumia zetu kijinga........ (tunasomesha wachumba)
M
KINA GADAFI WALIWEZA,,, ANGALIA NCHI ZA WENZETU HATA CHINA TU PAMOJA NA WINGI WAO LAKINI KILA RAIA ANATAMBULIWA NA SERIKALI YAKE NA ANAJULIKANA MAHALI ALIPO NA ANAFANYA NINI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.