Mh. Rais- Ndege, Fly Over , Airport Bila kujali na Kuinua Hali za maisha yetu ni kazi Bure

ndizeye

Member
Sep 5, 2011
44
51
Asilimia kubwa ya watanzania ni masikini wanaoishi katika maisha yasiyo kuwa na furaha hata kidogo, Mi nafikiri kipaumbele cha kwanza kwa serikali yetu kingekuwa kuhakikisha utu wa mtu kwanza kwa kufuatiria kwa ukaribu kabisa namna wanavyoishi kwa kuboresha na kumrahisishia kila mtanzania aweze kuishi maisha yenye amani na furaha… Haya si mawazo yangu ya kufikirika nadhani hata wewe unayesoma hapa umeshawahi kusikia na kupata taarifa za nchi ambazo serikali inamthamini Raia wake kwanza ndio mambo mengine yanafuatwa .. Nitoe pendekezo tu kuwa badala ya serikali kutumia fedha nyingi katika :-

Kujenga mabarabara ya juu na chini Dar wakati Tanzania hii ni kubwa mno ina maeneo mengi saana , sasa nashangaa kwanini kama Mh. Rais anaona Magari yamejaa Dar kama alivyo fanya kuhamishia serikali Dodoma anaweza kuhamisha vilevile na mashirika mengine kwenye miji mingine sio tu kungangania Dar ili nako kupate maendeleo mengine, wekeni limitation ya kiasi cha magari yanayoingia na kutoka Dar pia msiufanye Dar kuwa mji pekee wa muhimu tengenezeni fursa zilizopo Dar ziwekwe sehemu nyingine sio kila kitu Dar.

PAMOJA NA MIONDOMBINU KUTOKIDHI MAHITAJI YA DAR ILA YANAWEZA KUSTOPISHWA

NCHI IKADEAL NA RAIA WAKE KWANZA KUHAKIKISHA KILA MTANZANIA ANAFURAHIA NCHI YAKE.


Kuna mambo mengi ambayo kama serikali ikiyaacha kwanza ikakomaa na raia wake inaweza kuwatengeneza vizuri.

NAISHAURI SERIKALI

1. KUWEKEZA NA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU NA KUWEKA MFUMO MZURI WA ELIMU UNAOELEWEKA KWA WANAFUNZI WENGI MFANO kutengeneza mfumo wa ufundishaji kwa lugha yetu ya taifa mpaka elimu ya juu kabisa … Hili likifanyika naimani kila mtanzania atakuwa na uelewa na kile anachojifunza.

2. KUWEKEZA KATIKA KUFUATILIA NA KUSAIDIA MAISHA YA WANACHI KILA SIKU mfano kutengeneza utaratibu wa mafunzo ya kazi na kuweka umuhimu kwa kitu anachokifanya Mtanzania kuwa naThamani kubwa .. Mfano kama mtu analima basi Serikari iwe nae sambamba kuhakikisha akosei hatua za kilimo hii ikiwa ni pamoja na kutoa vitendea kazi bure , hii ikiwa ni pamoja na kulifanya zao analotoa mkulima kuwa lenye thamani kubwa.

NAMENGINEYO MENGI AMBAYO YANAWEZEKANA KITAALAM ILI TU KUMFANYA MWANANCHI WA TANZANIA AISHI KATIKA MAISHA YA KUTOJUTIA ….. VIONGOZI WETU ANGALIENI MAISHA YETU TUFANYE NASI TUISHI KAMA NYINYI NDIPO TAIFA LITATAWARIKA VIZURI , MAMBO MENGINE SIJUI VIWANJA VYA NDEGE KILA MAHALI WAKATI WATANZANIA WALIO WENGI HATA AWAJAWAHI KUISOGELEA NDEGE YENYEWE YATAKUJA YENYEWE . TUHURUMIENI

Asanteni
 

Attachments

  • 6a00e5517ca2678834019b0202ea0f970d.jpg
    6a00e5517ca2678834019b0202ea0f970d.jpg
    37.3 KB · Views: 33
  • DSCN1105.jpg
    DSCN1105.jpg
    19.9 KB · Views: 36
  • RUZUKU 1.jpg
    RUZUKU 1.jpg
    52 KB · Views: 35
  • yote-njaa-720173.jpg
    yote-njaa-720173.jpg
    21.5 KB · Views: 39
ACHA BANGI MKUU.......
RAIS kamwe hawezi ridhisha kila mtu maana yeye si "MUUZA PIPI WALA ICE CREAM"......
Komaa wewe mwenyewe kujiridhisha katika MAISHA yako....mfano unaweza enda omba kazi hapo kwenye hivyo vitega UCHUMI unavyovipondea na vikaridhisha MAISHA YAKO.....
 
Atakwambia yeye huwa haambiwi cha kufanya kwa sababu wakati anàchukua fomu ya kugombea uraisi alikuwa peke yake na akazunguuka nchi nchi nzima peke yake
 
Asilimia kubwa ya watanzania ni masikini wanaoishi katika maisha yasiyo kuwa na furaha hata kidogo, Mi nafikiri kipaumbele cha kwanza kwa serikali yetu kingekuwa kuhakikisha utu wa mtu kwanza kwa kufuatiria kwa ukaribu kabisa namna wanavyoishi kwa kuboresha na kumrahisishia kila mtanzania aweze kuishi maisha yenye amani na furaha… Haya si mawazo yangu ya kufikirika nadhani hata wewe unayesoma hapa umeshawahi kusikia na kupata taarifa za nchi ambazo serikali inamthamini Raia wake kwanza ndio mambo mengine yanafuatwa .. Nitoe pendekezo tu kuwa badala ya serikali kutumia fedha nyingi katika :-

Kujenga mabarabara ya juu na chini Dar wakati Tanzania hii ni kubwa mno ina maeneo mengi saana , sasa nashangaa kwanini kama Mh. Rais anaona Magari yamejaa Dar kama alivyo fanya kuhamishia serikali Dodoma anaweza kuhamisha vilevile na mashirika mengine kwenye miji mingine sio tu kungangania Dar ili nako kupate maendeleo mengine, wekeni limitation ya kiasi cha magari yanayoingia na kutoka Dar pia msiufanye Dar kuwa mji pekee wa muhimu tengenezeni fursa zilizopo Dar ziwekwe sehemu nyingine sio kila kitu Dar.

PAMOJA NA MIONDOMBINU KUTOKIDHI MAHITAJI YA DAR ILA YANAWEZA KUSTOPISHWA

NCHI IKADEAL NA RAIA WAKE KWANZA KUHAKIKISHA KILA MTANZANIA ANAFURAHIA NCHI YAKE.


Kuna mambo mengi ambayo kama serikali ikiyaacha kwanza ikakomaa na raia wake inaweza kuwatengeneza vizuri.

NAISHAURI SERIKALI

1. KUWEKEZA NA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU NA KUWEKA MFUMO MZURI WA ELIMU UNAOELEWEKA KWA WANAFUNZI WENGI MFANO kutengeneza mfumo wa ufundishaji kwa lugha yetu ya taifa mpaka elimu ya juu kabisa … Hili likifanyika naimani kila mtanzania atakuwa na uelewa na kile anachojifunza.

2. KUWEKEZA KATIKA KUFUATILIA NA KUSAIDIA MAISHA YA WANACHI KILA SIKU mfano kutengeneza utaratibu wa mafunzo ya kazi na kuweka umuhimu kwa kitu anachokifanya Mtanzania kuwa naThamani kubwa .. Mfano kama mtu analima basi Serikari iwe nae sambamba kuhakikisha akosei hatua za kilimo hii ikiwa ni pamoja na kutoa vitendea kazi bure , hii ikiwa ni pamoja na kulifanya zao analotoa mkulima kuwa lenye thamani kubwa.

NAMENGINEYO MENGI AMBAYO YANAWEZEKANA KITAALAM ILI TU KUMFANYA MWANANCHI WA TANZANIA AISHI KATIKA MAISHA YA KUTOJUTIA ….. VIONGOZI WETU ANGALIENI MAISHA YETU TUFANYE NASI TUISHI KAMA NYINYI NDIPO TAIFA LITATAWARIKA VIZURI , MAMBO MENGINE SIJUI VIWANJA VYA NDEGE KILA MAHALI WAKATI WATANZANIA WALIO WENGI HATA AWAJAWAHI KUISOGELEA NDEGE YENYEWE YATAKUJA YENYEWE . TUHURUMIENI

Asanteni
Halafu mtu anaharibu hela na mapanga shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Halafu mtu anaharibu hela na mapanga shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ebu kaa chini utafakari kakopa hela yuko anajenga Dar flyover anapanua uwanja wa ndege utadhani Dar ndio sehemu pekee Tanzania Watanzania wengi wanachuki na serikali kwa sababu wanaona awanufaiki moja kwa moja na Fedha za kodi yao pia na Rasilimali za nchi yao ....Eti Mtu anaishi Geita ila hata ajawahi kuiona hiyo dhahabu wala kufahidi matunda ya hiyo dhahabu badara ya kula vumbi na kuachiwa mashimo ..
 
Acha upuuuzi!

Kampeni za madawati zilipoanza mlilia foleni dsm..

Mara airport mbaya...!

Mnataka afanye vyote? Muwe na kiasi pia..
sawa ni upuuzi lakini hiki ndio kilio cha kila Mtanzania wenye kipato cha chini nani wengikuliko wewe uliye sehemu unakula tu maisha
 
Tungekuwa na rais msikivu hadi sasa tusingekuwa na madawati mashuleni, tusingeona flyovers zinajengwa, kusingekuwa na harakati za kuhamia Dodoma, angekuwa keshabadilisha sana mawaziri, hadi sasa tusingeonja harufu ya ndege Mpya hata moja..ingekuwa nchi ya maandamano na matamko..angekuwa ameitwa mzembe, dhaifu, hafai, tuliwaambia ccm ni ile ile..
Ila mungu ametupatia kile kitakachotuwezesha watanzania kutoka hapa kwenda nchi Mpya..huyu hasikilizi upuuzi wala ushauri wa nguvu za Giza..anafanya kile kinachofaa kwa Tanzania.. Long live ndugu John Josef Pombe Magufuli
 
Atakwambia yeye huwa haambiwi cha kufanya kwa sababu wakati anàchukua fomu ya kugombea uraisi alikuwa peke yake na akazunguuka nchi nchi nzima peke yake
Asilimia kubwa waliompigia kura ni wananchi masikini kama unabisha angalia Dar kama CCM ipo ,,,inapaswa wafikirie kuboresha maisha ya masikini kwa ukaribu wa hali ya juu
 
Tungekuwa na rais msikivu hadi sasa tusingekuwa na madawati mashuleni, tusingeona flyovers zinajengwa, kusingekuwa na harakati za kuhamia Dodoma, angekuwa keshabadilisha sana mawaziri, hadi sasa tusingeonja harufu ya ndege Mpya hata moja..ingekuwa nchi ya maandamano na matamko..angekuwa ameitwa mzembe, dhaifu, hafai, tuliwaambia ccm ni ile ile..
Ila mungu ametupatia kile kitakachotuwezesha watanzania kutoka hapa kwenda nchi Mpya..huyu hasikilizi upuuzi wala ushauri wa nguvu za Giza..anafanya kile kinachofaa kwa Tanzania.. Long live ndugu John Josef Pombe Magufuli
ndege tangu zimekuja mnapanda nyie wengie hadi zitakufa hatujawahi kuziona zaidi ya kwenye mitandao,.... ebu tuwe na huruma tusiseme kwa niaba ya mioyo zetu tuangalie na wengine huko...
 
Naomba nkuite ww n mpuuz maana hata akijal maisha yako pia utasema huna barabara nzur foleni nyingi bado utasema huna ndege taifa lako
.
Hayo yote aloyafanya n moja ya kukujali ww zombie
 
Asilimia kubwa waliompigia kura ni wananchi masikini kama unabisha angalia Dar kama CCM ipo ,,,inapaswa wafikirie kuboresha maisha ya masikini kwa ukaribu wa hali ya juu
Amesema msimdrive yeye ni raisi anayejiamini, mkuu unataka asemaje ili umuelewe
 
Haki ya Mungu ninazidi dhihirisha binadamu haturidhiki
kwa mfano kajenga flyover Dar mie niko huku bush hata barabara ya udongo aijatengenezwa mwaka wa kumi huu mimi nitaridhika na kitu gani labda niambie
 
ndege tangu zimekuja mnapanda nyie wengie hadi zitakufa hatujawahi kuziona zaidi ya kwenye mitandao,.... ebu tuwe na huruma tusiseme kwa niaba ya mioyo zetu tuangalie na wengine huko...
Kwani chopa za chadema umeshawahi kupanda??
 
M
ACHA BANGI MKUU.......
RAIS kamwe hawezi ridhisha kila mtu maana yeye si "MUUZA PIPI WALA ICE CREAM"......
Komaa wewe mwenyewe kujiridhisha katika MAISHA yako....mfano unaweza enda omba kazi hapo kwenye hivyo vitega UCHUMI unavyovipondea na vikaridhisha MAISHA YAKO.....
KINA GADAFI WALIWEZA,,, ANGALIA NCHI ZA WENZETU HATA CHINA TU PAMOJA NA WINGI WAO LAKINI KILA RAIA ANATAMBULIWA NA SERIKALI YAKE NA ANAJULIKANA MAHALI ALIPO NA ANAFANYA NINI.
 
Back
Top Bottom