......samahani lakin MTU amashauri aonavyo
Lakn kwa hii aise aachane tu na huyo mwanamke aoe tu mwingne
Mambo ya kustareh halafu MTU mwngne yampatishe shdaa nan anataka
Yaan kirahis rahis HV aongezewe muda nooo
Waweke mezani katiba ile ya Warioba yabadilishwe mambo kadhaa na s hilo moja tuuu
Kweli tunabatizwa kwa moto!!!!!!!!!!
Watu/marais wooteeee wamepita kimya huyu tu ndo atufanyie HIV
Bab j tunakupenda lakn njia unayotumia sivyo
Tenga pesa watu...
Ni kweli watu tumekuwa wavivu waoga wa kuthubutu
Halafu huwa nafikiri kuwa ni kitu labda cha kurithi!!!!!
MTU labda ana kazi! Ameajiriwa lakn anashindwa kujiongeza angalau awe na different source ya income
Tunasubir na kulaumu mshahara ukicheleweshwa
Tuamke jamani ukifanya kitu japi kidogo...
Ni kweli hii inatokea ktkt familia nyingi
Lakin Mara nyingi yaan kwa watu wengi ni kuzuia kwa uchakavu wa vyombo vyote vilivyoko kabati
Kwa upande wangu ili kuzuia hilo nna sahan vikombe bakuli kwa ajili ya wkend au sikukuu.......sasa watoto wamebatiza jina "mabakuli ya pilau" mabakuli ya...
Watu wanahama ujieleza nashda yako ikawa ya mshiko unahama
Nimeona wamama wawil sekretariawamehamia halmashauri nilipo baada ya waume zao wamestaafu huko walikokuwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.