Wakristo hawana sheria ila huwa wana utaratibu, na yapo mambo mengi sana nikisema utahisi nabomoa acha nichangie hili moja tu la pombe maana mimi si mtoa thread hii.' 1Petro 4:3, 1Timotheo 5:23, Mithali 20:31, Warumi 13:13, Wimbo 31:4-5, Wimbo 104:14-15, Wakorintho 10:23-24, Isaya 62:8-9...