Recent content by NDI NDI NDI

  1. NDI NDI NDI

    Vita ya Gambo na Lema yahamia kwenye Familia ya Lema

    Nasikia alitumia simu yake kumkashifu RC kwa sms.....sasa km alitumia yeye au mumewe....itajulikana mahakamani.
  2. NDI NDI NDI

    Msikiti wa posta na ubaguzi??

    Kule mbagala kuna msikiti wa wamwera kutoka Lindi,mtu wa kabila lingine uruhusiwi kuswali pale.
  3. NDI NDI NDI

    HESLB mmefanya kazi nzuri sana

    Kingine wanachosahau hawa kubwa kwamba zamani mtumishi wa umma alikuwa anakopea mshahara wake ili ampeleke mtoto wake shule za kulipia kwa sababu alikuwa anapata viallowance huko kazini,sasa hv havipo na mshahara ndo huo una makato,kwa hiyo naye sasa hv maskini tu!watoto wote wapewe mikopo ili...
  4. NDI NDI NDI

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkinga Tanga mbaroni kwa kumtishia bastola askari wa usalama barabarani

    Alitakiwa ajishushe tu aombe msamaha,kwa nafasi yake polisi wangemwelewa tu,lkn alitaka sifa kwanza za "UNANIJUA MI NANI...."bila shaka traffic akamijibu nikujue sura yako ipo kwenye hela?ndipo bastola ilipotoka....!
  5. NDI NDI NDI

    Tanzania Daima na Mtanzania ni kielelezo cha Tasnia goi goi ya Habari!

    Jamaa anajifanya mjuaji sana na mjivuni[emoji16] [emoji16]
  6. NDI NDI NDI

    Nyangumi aonekana Pwani ya Kilwa

    Sio Mtwara tu hata Sumbawanga juzi wamethibisha kuwa nyama panya ni tamu sana na wanaitumia...imeanza kuenea sasa[emoji13] [emoji13] [emoji13]
  7. NDI NDI NDI

    Haya ndo niliyoyaona Mtwara katika ziara yangu

    Nitajie nyingine unayoijua ww.... Sent from my HUAWEI G730-U10 using JamiiForums mobile app
  8. NDI NDI NDI

    Haya ndo niliyoyaona Mtwara katika ziara yangu

    Huko unafanya utafiti wa nn labda ndo swali la msingi,bukoba watu wanakula senene lkn mtwara hawali wanaona ni panzi,pemba wanakula kasa ila moshi hawali wanaona kobe....!wilaya ya masasi ndio ilikuwa inaongoza kipindi hicho cha Nyerere kwa kuwa na shule za sekondari za serikali na imetoa wasomi...
  9. NDI NDI NDI

    Jela maisha kwa kumlawiti mgoni wake

    Umerudia km mara mbili hv,ile timu ni ya Angola.ila msumbiji na Angola wote wanaongea kireno.
  10. NDI NDI NDI

    Jela maisha kwa kumlawiti mgoni wake

    Tena wakijua umefungwa kwa kosa hilo,wanakugombea km mpira wa kona huko ndani.
  11. NDI NDI NDI

    Ushauri: Nimeshindwa kumsahau dada huyu

    Tafuta hela kijana...
  12. NDI NDI NDI

    UBUYU: Kuhusu Biashara ya Anga na ATC na Bombardier Q400

    Tuwe na uzalendo jamani na tupende vyetu,hata nchi zilizoendelea zinatumia hizo ndege...
  13. NDI NDI NDI

    Uhamiaji, Polisi, Magereza Hali mbaya. Mwezi wa 3 Bila Mshahara!

    Sio askari tu ambao hawajalipwa,mpk wakurugenzi wote,makatibu wakuu na wakuu wapya wote hawajalipwa,sema zinawasaidia labda posho za safari,vikao na stahili.hao madogo siku wakilipwa ndo mtawatambua vzr,videmu vyenu vya mtaani vyoye vitakuwa vyao mpk hela iishe!maana watakuwa na mzigo wa...
  14. NDI NDI NDI

    Hii pekee ipo Rwanda

    Nimecheka kwa sauti.....!
Back
Top Bottom