Recent content by ndewelo

  1. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mpiga picha maarufu, Mpoki Bukuku amefariki dunia

    Mh naibu waziri wa kazi Antony Mavunde,amewaaili kwenye mazishi
  2. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mpiga picha maarufu, Mpoki Bukuku amefariki dunia

    Nipo kwenye msiba wa Mpoki r.i.p
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kauli hatari za ubaguzi Star Tv leo asubuhi

    Unategemea nini kesi ya nyani kumpelekea ngedere?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa kujua Technical requirement na vifaa Vyote vinavyoitajika nikiwa Nataka kufungua kituo cha Radio FM.

    Waweza kuni pm ili tufanye biashara,if you are real serious
  5. N

    JamiiForums Tanzania Akisimama Makonda Mungu kasimama, je akisimama Magufuli nani kasimama?

    Anguko la huyu bwana mdogo litakuwa kubwa na kishindo muda si mrefu time will tell
  6. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wewe unasugua goti huku ukisema Yesu akuone.... Wenzio wanapiga nae sefie tu uswazi....

    Ni makosa makubwa kufananisha picha za wanadamu wa kawaida na Yesu mwana wa Mungu,huyu aliigiza maisha ya Yesu tu,lakini yeye ni mwanadamu wa kawaida
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya MURO yatangaza kuuza mabasi yake, nini kipo nyuma ya pazia?

    Nadhani sasa ni wakati muafaka wa serikali yetu tukufu kupitia TRA wakae na wafanyabiashara ili kuona namna gani wanasaidia hawa watu. Maana kama wadanyabiashara wengi wanashindwa kuendelea na shughuli zao sababu ya kodi ni hataru sana. Je wote wakianza kufanya hivi serikali itapata wapi mapato...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Arusha: Afariki akiombewa kwa Nabii Rajabu, akutwa hana nguo na nyusi

    Wachungaji wa makamisa mengi nu watu wazuri sana,wala usiwalinganishe na manabii wa ajabu ajabu,mtu anaanzisha huduma yeye ndiye askofu,nabii,mtume na kila aina ya cheo,kanisa lake lipo hapo mahali pamoja,asipokuwepo hakuna kinachoendelea,atakalo sema yeye ndiyo mwisho,hana cha mzee wa kanisa...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kwa Mshahara huu Sh Milion 180 bora Bodi ya Mkopo ifutwe. Hazina, TCU, TRA na serikali wadai wadeni

    Wannakuelewa? Unachozungumza ni point,je hao wenyewe wanaelewa? Ni sawa na sisi tunadunduliza vihela vyetu kupeleka nssf,lakini wafaidika wakuu ni menejiment maajabu ya tz
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpende mke wako mzuri

    Umenena vema sana mtumishi,mke wako ni wako tu,hata angekuwa na sura ipi. Mungu alikupa huyo mpende wakati wote
  11. N

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wilaya ya Geita kapiga marufuku mikesha ya waumini wa kikristo

    Mbona unatokwa na mapovu mkuu,bila hizo kelele za dini hakuna ustaarabu,hakuna amani hata hizo sheria kuzitii hakupo. Kwetu sisi waafrika dini zimetusaidia sana. Wakati Mungu anataka kuiadhibu sodoma na gomora nabii Ibrahim alimuuliza je utaharibu mwenye haki na mkosaji Mungu alimhakikishia...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aagiza Viongozi wa Serikali kurudisha posho za safari ya kuhudhuria kilele cha Mwenge

    Mwenge mwenge mwenge,kwa mara ya kwanza katika maisha nilisikia kiongozi wa mwenge mwaka huu akiamurisha mwajiriwa wa serikali aswekwe ndani kisa hakuwepo kwenye shughuli,mamlaka ya kumweka mtu ndani aliyapata wapi? Huyu kiongozi wa mbio za mwenge?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Unamkumbuka kwa lipi..?

    Tulisoma bure kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu,siku hizi ni majanga tu mikopo mara wengine wakose, nk
  14. N

    JamiiForums Tanzania Kumbe kumtukana refa bongo rukhsa.

    Kila kitu kinawezekana hapa m-tz
Back
Top Bottom