Wachungaji wa makamisa mengi nu watu wazuri sana,wala usiwalinganishe na manabii wa ajabu ajabu,mtu anaanzisha huduma yeye ndiye askofu,nabii,mtume na kila aina ya cheo,kanisa lake lipo hapo mahali pamoja,asipokuwepo hakuna kinachoendelea,atakalo sema yeye ndiyo mwisho,hana cha mzee wa kanisa...