kilaza mjanja
JF-Expert Member
- Jun 2, 2016
- 654
- 1,143
Nimesikitishwa na Mkuu wa wilaya ya Geita kuameandika barua makanisa kupiga marufuku maombi ya mikesha makanisani Usiku.
kibaya zaidi vitu kama FIESTA kwao sio tatizo
Zitto alisema wakimaliza kwa wanasiasa watahamia kwenu. Waandishi wa habari, makanisa, wanafunzi, walimu, nk
kibaya zaidi vitu kama FIESTA kwao sio tatizo
Zitto alisema wakimaliza kwa wanasiasa watahamia kwenu. Waandishi wa habari, makanisa, wanafunzi, walimu, nk