Recent content by ndeukoya

  1. N

    GE2010 Gachuma akanusha madai ya Dk. Slaa

    its only a matter of time kitaeleweka tu!
  2. N

    GE2010 Raisi wa Kwanza Duniani katokea Tanzania

    ..................... you need physocological help nova!
  3. N

    GE2010 Raisi wa Kwanza Duniani katokea Tanzania

    Any comments? 1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake 2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi...
  4. N

    Tunamfukuza kazi JK kwa kudhoofisha uchumi ila twamwongezea Mahakama za kadhi na OIC.

    Haya yote jamani ni marudio kilichobaki ni kupiga kura tuache sound
  5. N

    GE2010 Kikwete amewaahidi nini hawa?

    Wamejitolea kwa kipi walichonacho? Hao wamenunuliwa!
  6. N

    GE2010 Kikwete amewaahidi nini hawa?

    Jk kaishiwa na sera hana jipya kashaanza kuchimba watu bit kwa kutumia jeshi. Kampeni za ccm watu wanalipwa kwenda, kampeni za chadema watu wanachangia mfuko wa kampeni, EXPERIENCE THE DIFFERENCE!!!!!!!!!!
  7. N

    can x-lovers be friends?????????

    "NGO" umesomeka u should do family counceling or something!
  8. N

    GE2010 Kumbe watu hawa wanadanganyika kwa nje tu,ndani ni wanamapinduzi?

    kwani lazima iwe Tanzania nzima hao wachache c wanachukuliwa kama sample space, au ulitaka mpaka watanzania wote waseme hivyo ndo uridhike
  9. N

    GE2010 CCM yatafakari mbinu za kuzima mdahalo wa Uraisi...

    Tatizo kama unachuki binafsi inakuwa ngumu kuukubali ukweli ingawa roho yako inatambua kuwa JK anauwezo mkubwa sana wa kupanga hoja na kuzieleza kwa kina ! Hata hivyo kwanini unang'ang'ania mpambano wa Man United na Lipuli ya Iringa. Slaa mlinganishe na mutamwega angalau utaonekana unaakili...
  10. N

    GE2010 CHADEMA yashindwa uchaguzi mkuu 2010

    weee mwiba utakuwa fisadi tu kama ni kweli kwanini tusikubali, ukweli aufichiki! utaipenda tu
  11. N

    GE2010 CHADEMA waliuza Ubungo 2005?

    mti wenye matunda lazima urushiwe mawe kwa hiyo wana chadema wote lazima tuzohee kuzushiwa mambo
  12. N

    GE2010 Angamiza malaria

    usijali speaker hakikisha una hamasisha watu wengine kumi wapige kura itakuwa ni sawa umepiga kura
  13. N

    GE2010 CCM yatafakari mbinu za kuzima mdahalo wa Uraisi...

    just imagine kikwete against Slaa what would jk say, ataishia kusema,kidumu chama cha mapinduzi, Slaa would eat him alive.
  14. N

    Hellloooooooooooooooooooooo jamiii forum

    Pasco, am here to stay lazima tuwe na after party tukishashinda
  15. N

    can x-lovers be friends?????????

    sio vinganganizi tu hao ni vicheche class A
Back
Top Bottom