nilishakopa zaidi ya mara kumi bank ila mikopo miwil ilinitesa sana ila sasa niko sawa, kwa sisi wafanyabiashara usichukue mkopo kwa sababu tu unakopesheka cha msingi angalia mahitaji yako ili usije ukatumia mkopo tofauti na kusudi la mkopo
aisee unatangaza tender wakati serikal yako haitoi hata mia, cha msingi tuwe na mikataba ya win win situation, watu wanaweka billions of dollars wanata return na profit
Kenyata amesema wafanyabiasha waende ila wafuate sheria, ila huku kwetu sijui kama hawa wakenya wanafuata sheria ipasavyo, cha msingi ni kuimarisha sheria zetu pia tuchunge kama kuna ubaguzi wowote kwa watanzania wakitaka kuwekeza kenya.
bro yule anae kula mirungi kwan alikuwa na shida nyingne? hizo ni changamoto zitatue uendelee na mke wako ila hakikisha unakamilisha adhabu uliyoaahidi la sivyo itakuwa ndio mchezo.
hizo fedha zinatoka serikali ya bara au zote? na kama kila serikali inachanga kwa nin kila serikali akabaki na hela yake? na kama zinatoka serikal ya bara kwa nin zanzibar wapewe mgao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.