The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
Takwimu za serikali zinaonyesha Watanzania sasa wako ama wanakafiriwa kuwa Milioni 60.
Kwenye takwimu hizo, wazee ni Milioni 2 na ushee ila hawajafika Milioni 3. Wazee wa kuanzia umri wa miaka 61. Maximum ni Milioni 3.
Kwenye hizo takwimu ina maana nguvu kazi ni watu Milioni 57, yaani ambao umri wao haujafika miaka 61.
Kwenye hao watu milioni 57, tukiondoa watoto na wategemezi, kuanzia miaka 0 hadi miaka 21(ni mambo ya kushangaza kusikia mtu ana miaka 21 amekua categorized kama mtegemezi. Nadhani hii ni Tanzania tu Duniani). Wanakadiriwa kua milioni 25.
Kwa maana hiyo watagemezi wote, miaka 0 hadi 21 na zaidi ya miaka 60 wako milioni 28 ama nusu ya Watanzania.
Maa yake ni kua nguvu kazi ambayo inatwgemewa kama injini ya kuendesha hii nchi, kizazi chenye nguvu ni karibia Milioni 32. Kwenye hiyo nguvu kazi wanaolipa kodi Tanzania hawazidi milioni 4 kwenye database ya TRA.
Hao walipakodi 4M karibu nusu ni wafanyakazi wanaolipwa mshahara na nusu ni wafanya biashara.
Kwa watu milioni 60, wanaolipa kodi hawazidi milioni 4 maana yake hii nchi ina wategemezi milioni 56 sawa na 94% ya population. Hii ni hatari.
Lazima serikali itafute mbinu mpya na mbadala za kupanua wigo wa kulipa kodi na kupunguza hii gap ya dependants vinginevyo hii nchi haitaenda popote.
Kwenye takwimu hizo, wazee ni Milioni 2 na ushee ila hawajafika Milioni 3. Wazee wa kuanzia umri wa miaka 61. Maximum ni Milioni 3.
Kwenye hizo takwimu ina maana nguvu kazi ni watu Milioni 57, yaani ambao umri wao haujafika miaka 61.
Kwenye hao watu milioni 57, tukiondoa watoto na wategemezi, kuanzia miaka 0 hadi miaka 21(ni mambo ya kushangaza kusikia mtu ana miaka 21 amekua categorized kama mtegemezi. Nadhani hii ni Tanzania tu Duniani). Wanakadiriwa kua milioni 25.
Kwa maana hiyo watagemezi wote, miaka 0 hadi 21 na zaidi ya miaka 60 wako milioni 28 ama nusu ya Watanzania.
Maa yake ni kua nguvu kazi ambayo inatwgemewa kama injini ya kuendesha hii nchi, kizazi chenye nguvu ni karibia Milioni 32. Kwenye hiyo nguvu kazi wanaolipa kodi Tanzania hawazidi milioni 4 kwenye database ya TRA.
Hao walipakodi 4M karibu nusu ni wafanyakazi wanaolipwa mshahara na nusu ni wafanya biashara.
Kwa watu milioni 60, wanaolipa kodi hawazidi milioni 4 maana yake hii nchi ina wategemezi milioni 56 sawa na 94% ya population. Hii ni hatari.
Lazima serikali itafute mbinu mpya na mbadala za kupanua wigo wa kulipa kodi na kupunguza hii gap ya dependants vinginevyo hii nchi haitaenda popote.