Ni jambo linalo uma sana nimechangia mfuko wa nssf kwa zaidi ya miaka 18 bila kupata faida yeyote.
Baada ajira yangu kuikoma ninasumbuliwa kupata mafao yeyote yale.
Nilitaka fao la kujitoa nikabadilishiwa gia angani baada ya kufanya kila kitu kilichohitajika tangu mwezi sita - 2018 nikaambiwa...
Ni jambo linalo uma sana nimechangia mfuko wa nssf kwa zaidi ya miaka 18 bila kupata Farida yeyote. Leo ajira yangu imekoma ninasumbuliwa kupata mafao yeyote yale.
Nilitaka fao la kujitoa nikabadilishiwa gia angani baada ya kufanya kila kitu kilichohitajika nikaambiwa limefutwa tangu mwezi wa...
Kuna ubabaishaji mwingi sana nssf nimekuwa mwanachama kwa miaka 19 sijawahi kufaidika na chochote kwenye mfuko huu. Nimepoteza ajira yangu sasa naangaika kupata fao la kukosa ajira kwa miezi minne nikusumbuliwa bila kupata chochote. Kila nikienda napangiwa tarehe ingine. Inauma sana aisee
Sent...
Ufunuo wa Yohana 2:10
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.
Amen
Ufunuo wa Yohana 2:10
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.
Amen
Ufunuo wa Yohana 2:10
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.
Amen
Kuna aina nyingi za utakatishaji wa fedha " kununua madiwani na kutufanyia maigizo ya kwamba hao hao ikiwezekana wachaguliwe tena huo ni utakatishaji mpya wa fedha za umma. "Money laundering in a new way"
Hao wakina Gerald Hando na baadhi ya wafanyakazi wengine wa Cloudsfm wanaamini kuwa nidhamu ya uoga, kujikomba-komba na kujipendekeza kwa mkuu ndio suluhisho la matatizo yao binafsi, inawezekana ikawa kweli. Ila Taifa alitajengwa kwa mawazo yao mgando. Tunahitaji watu wenye uthubutu wa kusema...
Ni ukweli usiofichika kwa Cloudsfm ile kauli mbiu yao ya Redio ya watu wameshindwa kuitendea haki sasa imebakia kuwa redio ya baadhi watu hasa-haswa walioko madarakani na kuwasifia viongozi wa CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.