Recent content by ndenga

  1. ndenga

    Vitu vya kuanza navyo kuchochea safari ya kutajirika mapema

    Kudhibiti malalamiko ya familia= Kutoa pesa ya kutosha ili watulie
  2. ndenga

    Wabunge/wawakilishi wote wa baraza la mapinduzi Zanzibar wanakuwa wabunge wa Bunge la JMT?

    55 Mbona wengi sana ukilinganisha na ukubwa wake na idadi ya watu. Kwa upande wangu ningeona ili kupunguza matumizi wabunge 10 wengetosha na 2 wawe wanatoka baraza la wawakilishi.
  3. ndenga

    Kitila mkumbo afokekewa Zanzibar ambiwa akae kimya hajui Mambo ya Zanzibar

    Sasa kama hujaweka evidence tutajuaje kama siyo uchonganishi, ungesubiri uipate video ndiyo utoe habari yake
  4. ndenga

    Mpango Mji wa Dar es Salaam unavyopotea kwa Kasi, Ujenzi bila Mpangalio

    Hiyo iko kwenye makaratasi tu, ila nilimaanisha Dar es Salaam na wilaya zake 5, Kinondoni, Ubungo, Ilala, Kigamboni na Temeke
  5. ndenga

    Mpango Mji wa Dar es Salaam unavyopotea kwa Kasi, Ujenzi bila Mpangalio

    Wadau, nimepita mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam katika hali ya kawaida mpango mji haueleweki tena au haufuatwi. Watu wanajenga hovyo sijui kama wanavibali au ni mamlaka zimelala. Baadhi ya vitu vinashangaza, kwa sasa asilimia kubwa ya nyumba zilizopakana na barabara wanaweka frame za...
  6. ndenga

    Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

    You have a very low thinking. Hapa umetoa mpaka address ya boss wako. Kibarua kitaota sasa. Hili taifa lina vijana wengi wajinga na wazembe sana. Kama hatua hazitachukuliwa kwenye malezi na elimu yetu then tutakuwa tunatenganeza wajinga wengi sana kama huyu. Sishangai kufanya kazi unayoifanya.
  7. ndenga

    Huu ugonjwa unaoitwa "chango" kwa wanaume na wanawake unaitwaje kitaalamu?

    TAIFA LINAKUTEGEMEA!!! are you sure. ? Taifa gani labda...
  8. ndenga

    ROSE MUHANDO ULIWAZA NINI KUTUNGA HUU WIMBO

    Nibebex2: CC: Simba
  9. ndenga

    Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

    Unapenda Ligi sana wewe, itakuwa mshahara wa December umechelewa ndio maana hasira nyingi. Siyo mbaya utautumia January 2022 wakati wenzako wakiwa wamepigika
  10. ndenga

    INAUZWA JBL Wireless, Dust and Water Resistant Speaker for Sale

    Do you have JBL with FM radio: nawaza kama hili toleo halipo
  11. ndenga

    Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

    Mpaka sasa Mama hana Mpinzani, labda kama Katiba na Tume ya Uchaguzi itabadilishwa.. Otherwise she is there to stay mpaka 2030
  12. ndenga

    Kampeni ya Usafi wa Dar iendane na hili

    Niendelee kumpongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar kwa kusimamia maamuzi mbalimbali ya kuhakikisha Dar inasimama katika usafi na mpangilio wa biashara katika maeneo mengi. Katika hili kuna haja ya kuhakikisha Dar inakuwa katika hali ya usafi na mpangilio wa biashara katika hili kuna haja ya kusimamia...
  13. ndenga

    Baada ya zoezi la kuwapanga wamachinga, na hili liangaliwe...

    Nianze kwa kuipongeza serikali ya awamu ya sita kwa zoezi liloratibiwa vizuri sana la kuwapanga Wamachinga. Hili zoezi linaweza kuwa na lawama chache lakini ukichukulia tulipokuwa na tulipofikia kiukweli tumefanikiwa kwa kiasi kikubwa. Ombi kubwa katika hili ni kuhakikisha hawa Wamachinga...
Back
Top Bottom