Ninaamini huko baadaye watabadilika la sivyo wataishia kuwa Wantam. Maana Moshi ni ngumu sana kuvumilia watendaji wabovu. Cha msingi wabadilike wairudishe Moshi ilipokuwa. Moshi kwa sasa imezidiwa hata na Bunda kwa usafi na mpangilio wa vitu.
Maswali ya Msingi hapa. Moshi ilikuwa Munispaa inayoongoza kwa usafi kwa kipindi cha nyuma kwa muda wa miaka 10. Ilikuwa ukikaribia Moshi kila mtu alikuwa anaheshimu kutupa taka ovyo..kulinda maeneo ya wazi, mpangilio wa maeneo ya biashara etc. Kwa sasa inasemekana wamerudi nyuma. sasa...
Mwanga Bank is the best in Town now days. Management ya hii bank wanapaswa kupewa zawadi. Hongereni sana. Mkiendelea hivi miaka 10 ijayo mtaanza kuwa na Matawi Nairobi, Bujumbura, Kinshasa, Kampala, Kigali etc
Naunga mkono hoja, hii ndiyo njia mojawapo na muhimu itakayotoa nafasi kwa watu wengi kufaidika na uchumi wa nchi..na itarahisisha uwekezaji kukuwa kwa baadhi ya makampuni
Pakistan ana ushirika mzuri na Marekani na wadau wa Ulaya. Ndiyo maana ameruhusiwa kuwa nayo, hata Marekani wana Military base pale kwao.. Hata hivyo viongozi wake hawana mihemko sana hivyo madhara yao ya kuwa na nyuklia yanavumilika. You can imagine Umpe nyuklia nchi kama Yemen..usalama wa...
Atakuwa amejitahibia kuliko hata Prof Lipumba na wapinzani wengine, bora angekaa kimya. Anyway Mbowe akiingia kwenye active politics za kupingana na chama chake na alichokiasisi atakuwa amepoteza hadhi na sifa alizojijengea miaka zaidi ya 40 ya kuwa kwenye active politics. Namsifu sana Halima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.