Recent content by ndenga

  1. ndenga

    Pakistan waliwezaje kutengeneza na kumiliki silaha za nuclear bila kuingiliwa na Marekani?

    Pakistan ana ushirika mzuri na Marekani na wadau wa Ulaya. Ndiyo maana ameruhusiwa kuwa nayo, hata Marekani wana Military base pale kwao.. Hata hivyo viongozi wake hawana mihemko sana hivyo madhara yao ya kuwa na nyuklia yanavumilika. You can imagine Umpe nyuklia nchi kama Yemen..usalama wa...
  2. ndenga

    Kabla hujataka kumuongoza mwingine, jiongoze kwanza wewe katika maeneo haya ili uwe kiongozi bora

    Good, umeandika vizuri sana na kwa kutulia. Nimejifunza kwa kweli. Ila hili linabeba mengine 2.Mentality(akili)
  3. ndenga

    Tetesi: Mbowe kupokelewa CHAUMMA Agosti 06 ukumbi wa Mlimani City

    Atakuwa amejitahibia kuliko hata Prof Lipumba na wapinzani wengine, bora angekaa kimya. Anyway Mbowe akiingia kwenye active politics za kupingana na chama chake na alichokiasisi atakuwa amepoteza hadhi na sifa alizojijengea miaka zaidi ya 40 ya kuwa kwenye active politics. Namsifu sana Halima...
  4. ndenga

    Utabiri: Uchaguzi kufanyika mwakani February 2026

    Ramli Chonganishi tu
  5. ndenga

    Jacky Mzindakaya ashinda Ubunge Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa

    Tusipokuwa makini Bunge linalokuja linaweza kuwa bunge la ajabu sana.. hata ikiwezekana likatoka kwenye misingi yake. Kila mtu anataka kuwa Mbunge..inamaana kazi yake ni rahisi sana inayoweza kumfit kila mmoja.
  6. ndenga

    DR SULE amesema wanawake wote wa kiislam peponi chuchu zao zitakuwa kama msumari na maumbile yao kama binti wa miaka 16 kwa ajili ya wanaume wa enjoy

    Viongozi wa Dini kuongelea ngono inakera sana.. kuna vitu vingi vya kuongelea why ngono? Ngono inaonekana ndiyo starehe kubwa kuliko vitu vyote..
  7. ndenga

    Ni wanawake au wanaume wa kabila gani ambao umewahi kukutana nao kimwili kwa wingi?

    Ndiyo maana tunaishia kulaumu serikali tu..kumbe focus yetu ipo huku. Kuongoza waafirica ni ngumu sana..
  8. ndenga

    Kada wa CCM ahamia CHAUMMA

    Mbona sura haionyeshi kama alikuwa kada wa chama
  9. ndenga

    Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

    Siasa za sasa kwa umri wake hazimfai..
  10. ndenga

    Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

    Mbowe angefanya vizuri sana kwenye maisha yake kama angeachana na siasa za majukwaani akawa mshauri wa siasa na mambo ya kitaifa bila kujali chama kama Wazee Wengine eg Warioba, Butiku, Prof Baregu, Prof Safari, Mizengo Pinda etc
Back
Top Bottom