Pakistan ana ushirika mzuri na Marekani na wadau wa Ulaya. Ndiyo maana ameruhusiwa kuwa nayo, hata Marekani wana Military base pale kwao.. Hata hivyo viongozi wake hawana mihemko sana hivyo madhara yao ya kuwa na nyuklia yanavumilika. You can imagine Umpe nyuklia nchi kama Yemen..usalama wa...
Atakuwa amejitahibia kuliko hata Prof Lipumba na wapinzani wengine, bora angekaa kimya. Anyway Mbowe akiingia kwenye active politics za kupingana na chama chake na alichokiasisi atakuwa amepoteza hadhi na sifa alizojijengea miaka zaidi ya 40 ya kuwa kwenye active politics. Namsifu sana Halima...
Tusipokuwa makini Bunge linalokuja linaweza kuwa bunge la ajabu sana.. hata ikiwezekana likatoka kwenye misingi yake.
Kila mtu anataka kuwa Mbunge..inamaana kazi yake ni rahisi sana inayoweza kumfit kila mmoja.
Mbowe angefanya vizuri sana kwenye maisha yake kama angeachana na siasa za majukwaani akawa mshauri wa siasa na mambo ya kitaifa bila kujali chama kama Wazee Wengine eg Warioba, Butiku, Prof Baregu, Prof Safari, Mizengo Pinda etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.