Recent content by Ndeluningo

  1. N

    Mshahara wa mwezi Mei kuingia kwa mafungu/makundi

    duh
  2. N

    Nahitaji Toyota Aqua au Prius

    Nahitaji Either Prius au Aqua moja. Anayeuza anicheki. iwe kwenye hali nzuri. na usajili uwe na E. Offa 15m Inbox
  3. N

    Nani apewe maua yake kwa review kali za magari: Abel Shoo wa east cars, Dr. Mechanics, Mshana Jr au Samatimes

    Nani apewe maua yake kwa review kali za magari: Abel Shoo wa East cars, dr.Mechanics, Mshana jr, Samatimes
  4. N

    Nawezaje kuweka kitabu AMAZON KDP

    Habari ndugu zangu, Nataka kuweka kitabu changu katika mtandao wa AMAZON, ila kuna sehemu moja ya kuweka taarifa za kibenki, sioni option ya Tanzania ili niweze kuendelea. Kuna iprion ya Marekani na nchi nyingine za Ulaya. Msaada tafadhali
  5. N

    Mlundikano wa malori Shekilango, Ubungo Maziwa ni kero

    Kumekuwa na kero kubwa ya malori haya yanabeba kopa ni mengi mnoo na barabara imekuwa finyu. Serikali mtusaidie.
  6. N

    Be that top 1% -majitu yenye akili na nguvu

    kabisa mkuu mafanikio yanatokana na watu how unahusiana nao
  7. N

    Oktoba 5, Siku ya Walimu Duniani, una ujumbe gani kwa Mwalimu wako leo?

    Walimu ni sawa na mafundi umeme wanaoingiza umeme majumbani. Taa zinapowaka sote hufurahi kwa furaha. Namshukuru mwalimu aliyenifundisha AEIOU maana alinifungulia dunia. leo nasoma maarifa mengi mwenyewe. I am Ndelutarami H.N
Back
Top Bottom