Habari ndugu zangu,
Nataka kuweka kitabu changu katika mtandao wa AMAZON, ila kuna sehemu moja ya kuweka taarifa za kibenki, sioni option ya Tanzania ili niweze kuendelea.
Kuna iprion ya Marekani na nchi nyingine za Ulaya.
Msaada tafadhali
Walimu ni sawa na mafundi umeme wanaoingiza umeme majumbani. Taa zinapowaka sote hufurahi kwa furaha.
Namshukuru mwalimu aliyenifundisha AEIOU maana alinifungulia dunia.
leo nasoma maarifa mengi mwenyewe.
I am Ndelutarami H.N
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.