Hasa Aliyejitangaza nani? Umesoma vzr iyo taarifa? Wema ye Katoa miti miwili yake basi,Sasa huyo ndg wa marehemu aliyethibitisha ndo Mkamuulize Ye aliulizwa na nani then akathibitisha? Ule mpunga umesaidia familia acheni wivu
Mwenzio Masharubu ndio mtoa maada katulia tuliii kwa kujua kweli hakuwepo Dar.... Ila nyinyi Mliokuja D'slam kwa ajili ya kujiunga na chuo kikuu Mnashida sana
Nyinyi Darasani ndo Mlikuwa Mnakaa nyuma kabisa Mwl akifundisha Mnatia stry....... Nimekwambia Kinondoni ni Eneo na pia lina Mitaa yake! Acha kupaparika.
Kinondoni km Kinondoni ni Eneo ambalo lina Mitaa yake na Ukizungumzia timu za Kinondoni kulikuwa na Internasionale pamoja na Newcastle..... Na Ukizungumzia Upinzani Linea Mesina Mpinzani wake Mkubwa alikuwa Kagera rangers na Faru Dume mpinani wake Alikuwa Sifa utd..... So Mechi ya Mesina na Faru...
Acheni Kuuma uma Maneno mtoa Maada ajasema Kaziona wapi Alichosema yeye "Zamani kulikuwa na Upinzani ZIKIKUTANA TIMU ZA MTAA MMOJA hapo amezungumzia mitaa Alafu akasema Mfano Kinondoni zikikutana MESINA na FARU ina maana hapa alikuwa anazizungumzia timu za Kinondoni Mtaa sio Wilaya ila nyinyi...
Kuna kipindi timu za Mtaa mmoja kulikuwa na Upinzani,Mfano Kinondoni Faru na Mesina....... We acha kukurupuka Angalia alichoandika mwenzio Kuna sehemu kazungumzia Wilaya hapo? Unajua tofauti ya Mtaa na Wilaya? Kwanza Mlikuwepo D'slaam au Mmezisikia tuu hizo timu Mkakurupuka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.