Recent content by ndegeya

  1. ndegeya

    Vigezo hamna mnataka kazi mtasubiri sana umri nao ndio huo hausubiri

    nahis mama yako mimba ya kukuzaa aliipatia gest ndo maana unapost vitu vya ajabu ajabu usidhan watu wanaangaika na kutafuta kaz wanapenda.fyuuuuuuuuuu.mat.ko ya aliekuzaaa
  2. ndegeya

    Jhpiego kiini macho cha ajira

    community mobilizer in voluntary male circumsition
  3. ndegeya

    Jhpiego kiini macho cha ajira

    ni very eazy mi week 3 zilizopita nilifanya interview lkn kiukwel ni rahic sana inategemea umeomba post gan mkuu
  4. ndegeya

    Jhpiego kiini macho cha ajira

    nimefanya interview pale na sijawah kuona interview simple kama ile aisee lkn niliambiwa tutakupigia cm cha ajabu mpaka leo kimya
  5. ndegeya

    Huyu aliye nitumia meseji ni hacker au ni kweli mtumishi?

    number yake hii wanajamvi anaitwa Raymond 0713765442
  6. ndegeya

    Huyu aliye nitumia meseji ni hacker au ni kweli mtumishi?

    Double k sikuweza kuchukulia poa kias hicho jamaa nilimbana sana maswali mwishowe katokomea mwenyewe na nimempigia cm hapokei
  7. ndegeya

    Huyu aliye nitumia meseji ni hacker au ni kweli mtumishi?

    Leo asubuhi mida ya saa 8:30 kuna mtu ameni inbox na akajitambulisha jina lake pamoja na kampuni anayofanyia kazi cha ajabu hakunitajia yeye katika hiyo kampuni ana position gani kampuni yenyewe inaitwa DOVETAIL LTD kaanza na hiv nanukuu "naitwa mr Raymond natokea dovetail ltd nimepitia cv yako...
  8. ndegeya

    Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

    msaada wako mkuu email yangu ni alphonce.masanja@yahoo.com
  9. ndegeya

    Wajumbe wawili wa Bunge la Katiba watumia jina moja, haijulikani nani alipaswa kuwa Dodoma

    na ukizingatia ni nan alieandikiwa officially letter inayomjuza kua ndie mmoja wa wajunbe watakaohudhuria kikao.mboba watanzania tunageuzwa kama wote ni mambumbu tusiojua kitu na kutambua kinachoendelea katka nchi yetu we need the revolution
  10. ndegeya

    Unahitajika umakini wa hali ya juu kwa wakazi wa mkoa wa Tabora

    Unauhakika na ulichokiandika nimezaliwa mkoa wa tabora nimesoma chekechea mpaka chuo nimemaliza bado nipo mkoa wa Tabora kilio cha wanatabora ni miundombinu mibovu kilakukicha iweje leo ww unasema kua tunajengewa barabara bas hiyo barabara inajengwa nyumban kwako
  11. ndegeya

    Polisi waua Tabora

    We hutumii akili kabisa chadema imefanya nini uliachiwa radh na wazaz wako nn
  12. ndegeya

    M4C-OPD ndani ya Dodoma - Jan 27, 2014

    Ungekua na kqmpun ungevaa kofia ya kupewa na chama
  13. ndegeya

    M4C-OPD ndani ya Dodoma - Jan 27, 2014

    NAdhan anashinda choon huyo kiuno
  14. ndegeya

    Unahitajika umakini wa hali ya juu kwa wakazi wa mkoa wa Tabora

    Kilio cha kila siku kwa wazawa na wakaz wa mkoa wa Tabora kuhusu miundombinu ya barabara inayoonganisha municipal na wilaya zake zote ni aibu kwa mkoa wa kihistoria katika nchi hii kua na miundombinu mibovu ya barabara hususan zile barabara zinazoonganisha makao makuu ta mkoa na wilaya zake. Ni...
Back
Top Bottom