Aliigaje tembo wakati kazi yake ya kwanza baada ya kuurithi urais ilikuwa ni kuwatupilia mbali "think tank" wa mtangulizi wake? Akawatapanya akina Polepole, akajiweka karibu na jirani zetu kuonyesha kuwa mtangulizi wake "aliua hata vifarnga kwa kuvichoma moto" baadae huyo jirani ndio...
Nimekumbuka "live conference" ya Zungu na Humphrey Polepole, hakika makosa ya uumbaji wa Zungu hayakuishia kwenye ngozi, Hadi ubongo aliwekewa wa mbuzi!
UVCCM walimpa "nondo za maswali' na bado alipuyanga!
Soma kitabu hiki mkuu ndio utafahamu kuwa hii nchi ne jehanam tangu tulipopata uhuru...
Sio lazima ukitafute amazon, hata hapa JF kilishawekwa japo sikumbuki ni uzi gani!
Trump pamoja na mapungufu yake amenisaidia kufahamu mengi yaliyojificha kwa wanasiasa, media, misaada na hasa USAID.....
Hapo msigwa na huyo mRepublican "nyuma ya pazia kuna HONGO wanapeana, jamaa kapewa kitalu cha kuchimba madini, nk!" NAWAZA TU>
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.