Recent content by Ndamila

  1. N

    Dotto: Kama kweli watanzania wanaumia na wizi huu wa mali za umma tuanze shinikizo la haya yafuatayo

    sasa ukifanya hivyo nani atabaki salama?kukiri kosa na kuomba msamaha kwa baadhi ya makundi inatosha
  2. N

    Mauaji yanayoendelea Kibiti, Pwani: Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuyatokomeza

    kuna ziwa au mto huko Mloka wananchi nasikia walikuwa wakienda kuvua wanauawa na wasimamizi Wa ziwa hilo hili nalo liangaliwe
  3. N

    Mauaji yanayoendelea Kibiti, Pwani: Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuyatokomeza

    kuna ziwa au mto huko Mloka wananchi nasikia walikuwa wakienda kuvua wanauawa na wasimamizi Wa ziwa hilo hili nalo liangaliwe
  4. N

    Vituko vya Mr Money!

    Mr money Leo amenipa 26252 nilishangaa kweli
  5. N

    Kumbukumbu murua: Tujikumbushe watangazaji mahiri wa mpira nchini

    kwa sasa hakuna anaemfikia hasani mvula Wa Azam tv
  6. N

    NECTA wagoma kubadili jina langu. Nina ushahidi wa mahakama kukana jina la cheti cha kwanza

    Nina imani hata hiyo GPA yako ni ya maghumashi vilevile
  7. N

    Wananchi wa Mkuranga, Kibiti wanashirikiana na wauaji, Mwigulu na RC walionya kwamba Operation kali

    sio kweli ugaidi na uharifu upo hata nchi zilizoendelea ona ufaransa,marekani UK etc
  8. N

    Kampuni ya mafuta/Gas ya BG Group/SHELL lawamani kwa UDINI baada ya kukwepa kulipa kodi ya 1Trillion

    lawama iende kwa viongozi Wa bakwata kwa kukaa kimya juu ya mswala haya yanayoendelea sasa,na dhima kubwa wameibeba wao kama viongozi,lazima wataenda kuuluzwa juu ya hili.
  9. N

    Mauaji haya ya Askari yatairudisha Kusini zama za Nyerere.

    Acha kutisha watu wewe barabara hii hainaga ujinga huo,na kwa taarifa yako hawa majambazi hufanya huarifu wao usiku na si mchana hivyo hakuna mahusiano yoyote na mabasi
  10. N

    Maelezo kutoka kwa katibu mkuu utumishi

    hii habari ilishaga sambaa kama mwaka mmoja hivi uliopita ni uzushi tu
  11. N

    Meya wa Ubungo akabidhi mashtaka yake dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar kwenye tume ya Maadili

    ukienda mahakamani utalifanya bunge lishindwe kumjadili,
  12. N

    Toyota passo inauzwa

    Natafuta Toyota vitz ya mwaka 2000 ofa yangu m 4
  13. N

    Wanafunzi waliochaguliwa kidato cha kwanza kufanya mtihani mwingine

    mimi wasiwasi wangu ni sehemu Mbili,moja kuna baadhi ya watoto na wazazi wao wanalazimishwa tu kwenda sekondari sasa wakipata fursa hii ndo watafurahi kwani mwanafunzi ataamua kufanya vibaya ili asiendelee na masomo.Pili wazazi waliojibana mpaka kupata mahitaji ya mtoto je watafidiwaje kwa...
  14. N

    Kioja kingine: Marehemu alikuwa katibu wa Chama cha walimu, na mjumbe wa NEC ya CCM

    mbona walimu wengi tu ni viongizi kwenye ccm? manec wengi ni watumishi Wa umma,usishangae,lakini Katibu Wa chama cha walimu sio mtumishi Wa umma ni mtumishi Wa chama cha walimu,hivyo ana haki ya kushiriki siasa.Kwani hata waziri Mkuu alishawahi kuwa Katibu Wa cwt Singida na bado alikuwepo kwenye...
Back
Top Bottom