Recent content by NDAGALU

  1. N

    Wake za Magufuli na Lowassa

    Magufuli Rais wa Tanzania.
  2. N

    Msafara wa Lowassa wasimamishwa Ubungo

    Nani kakudanganya kuwa Magufuli hapendwi kanda ya ziwa? Mnahaha mcheza kwao hutuzwa ndo maana Lowasa kaskazini naye atapata kura nyingi. Magufuli atapata 80% kanda ya ziwa na hilo halina ubishi. #Hapakazi tu majungu na Ufisadi peleka Ukawa.
  3. N

    Haki ya Mungu UKAWA hamtoki na jimbo mkoani kwangu

    Hahaaaa! Ngalu safi sana. Hapakazitu
  4. N

    Kwetu Mwanza hii ndo hii ndo salamu, Kwenu vip?

    Unaijua Mza ama ni mzamiaji? Kwenu Mwanza nayo sifa! It is a Strong hold for Magufli. Don't lie any body. Lowasa has nothing to do with the people of Mza.
  5. N

    GE2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

    Ng'wanangwa ulibugali bo shipolo na ulibuli. Ubebe.......... Lowasa atakulipa
  6. N

    Alichokifanya Mtangazaji wa ITV akisoma taarifa ya Habari ya saa mbili usiku

    Familia ya kipumbavu. Mnashangaa push up? Wewe mbeya sana hata hufai kuwa na familia.
  7. N

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    JPM Magufuli
  8. N

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Magufuli
  9. N

    Ni mikoa ipi hadi sasa ni ngome ya CCM??

    Kaka urais wa kwenye mtandao mshapata. Ndo maana hata hotuba yenu mlisema itawekwa kwenye mtandao. Kanda ya ziwa, kati, kusini, mashariki na nyanda za juu 80% ni Magufuli. Ukawa ni kanda yenu ya kaskazini tuuu. Hatuchagui mwizi na kapi lililojichokea likaangukia chagadema chama cha mtei na...
  10. N

    Huyu ndio Magufuli

    Mabadiliko na Lowasa? Umechanganyikiwa bana. Kwenda huko hakuna mapya na fisadi mkuu wa nchi hii. Kamwe Ikulu si ya majizi na wafanyabiashara. Viva Magufuli ingia Ikulu ukomeshe mafisadi wanahaha!
  11. N

    Hali mbaya CCM, wamwomba Msuya, Salmin, na Mwandosya kuokoa jahazi

    Kaka uko sahihi, hizi juhudi za hawa vijana waliomwagwa humu jf kupiga debe la fisadi Lowasa ni dua la kuku kwa mwewe. Ushindi wa Magufuli uko wazi kwani ni kiongozi shupavu na mchapakazi na hajapatikana kwa rushwa. :A S thumbs_up:HAPA KAZI TUU. Watakoma mafisadi na wazembe kwani JEMBE na NGOSHA...
  12. N

    Lowassa hasafishiki

    Hayo yote uliyoyasema kuhusu rasirimali ni sahihi. Kumbuka Lowasa kawa mwana ccm toka Enzi za TANU. Alileta mchango gani katika kunusuru rasirimali zetu? Leo ndo atazitumia vyema? Marekani ilikuwa inakumbwa na suala la ubaguzi (racism). Hawakutaka Rais tofauti na mzungu. Lakini upande wa vyama...
  13. N

    Mahojiano ya Zitto na Tido Mhando katika kipindi cha Funguka - Azam TV

    Ni kweli kwasasa Chadema ni Lowasa kuliko hata misingi waliyoisimamia. Kazi yao sasa ni kumtakasa Lowasa na kuwakejeri watu kama akina Slaa.
  14. N

    CHADEMA wanaweza kupoteza jimbo la Moshi Mjini

    ulibusiga......! Lowasa ndo nini?
  15. N

    SABABU 10 za kwanini Dk. John Pombe Magufuli atashinda uchaguzi wa mwaka huu

    Jibu hoja. Mleta maada kajieleza vizuri sana. Tatizo wengi wanatumia nguvu na ushabiki tuu. Outreach ya Ukawa na chadema ni ndogo ukilinganisha na CCM. Kweli upinzani utakuwa mkali but CCM itashinda kwa 80%
Back
Top Bottom