Ramadhani waso + boniface pawasa + victor costor jumba kwa bongo kwa ulaya kuna safu ya ulinz ya jose mouh akiwa na intermilan wakiongozwa na kaka mkuu lucio..
Wakuu mim naunga mkono tuanzishe group la whtsap la wote tunaosubr ajira ili tuweze kufalijiana na kupeana plan mbadala za kujikwamua kimaisha maan nafikir kunauwezekan mkubw san tukafundishan furs zngne uko kuliko kukaa tuna subir tran airport..
Mkuu jibu lake utalipata kutoka katika kitabu cha Hesabu 21:4-9
BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu wakawauma watu wengi wakafa watu wakamwendea musa wakasema tumefanya dhambi kwa sababu tumemnung'unikia Mungu na wewe utuombee kwa BWANA atuondolee nyoka hawa basi Musa akawaombea watu BWANA...
Nakuunga mkono kabsa ndugu ukiwaza sana unaweza ukatamani kwa hiki kipindi cha miaka hii ni kheli ungekua mzaliwa wa nchi nyingine na sio hii...
Mtazamo wangu nchi hii kana kwamba sio yetu ni ya wanasiasa tuu... naichukia sana siasa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.