Recent content by ndagala

  1. N

    Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

    Mafundi wa soka mbona mnamsahau Milan baros.. Fundi mwingine kaka hua nataman kulia nikiangalia clip zake akiwa Milan..
  2. N

    Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora yahamia Dodoma rasmi leo

    Msaada nawezaje ku download hii video ya mh kailuki.?
  3. N

    Rais Magufuli, Kwa hili naichukia serikali yako

    Mungu naomba tusaidie tufike 2020 salama..
  4. N

    Joti hata kama ni Sanaa lakini...!

    Jman jot ni comedy too hakun lolote anaweza kufany baya..
  5. N

    Beki bora zaidi kuwahi kumshuhudia!

    Ramadhani waso + boniface pawasa + victor costor jumba kwa bongo kwa ulaya kuna safu ya ulinz ya jose mouh akiwa na intermilan wakiongozwa na kaka mkuu lucio..
  6. N

    Ajira za serikalini kwa uhakika zitafunguliwa lini?

    Tukomae tuu tushike tuliposhika kwa mikono miwili...
  7. N

    Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

    Huyu sio mtu wa kumfananisha na wajinga..
  8. N

    Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

    Gaucho giniaz wa soka anafanya vtu ambavyo hujawahi kufikilia. .
  9. N

    Ajira za walimu

    Toa maelezo plz..
  10. N

    Waziri Angela Kairuki arudie kujibu swali la mbunge wa Singida Mjini kuhusu maslahi ya watumishi

    Jmn jpo serikali hii haitendi kwa kadir tunavotegemea lkn kauli kama hiz kimsingi sio nzuri kabisa..
  11. N

    Ajira za watumishi 2016/2017

    Wakuu mim naunga mkono tuanzishe group la whtsap la wote tunaosubr ajira ili tuweze kufalijiana na kupeana plan mbadala za kujikwamua kimaisha maan nafikir kunauwezekan mkubw san tukafundishan furs zngne uko kuliko kukaa tuna subir tran airport..
  12. N

    Alama/ logo ya Nyoka katika fimbo kwenye mambo ya afya ina maana gani?

    Mkuu jibu lake utalipata kutoka katika kitabu cha Hesabu 21:4-9 BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu wakawauma watu wengi wakafa watu wakamwendea musa wakasema tumefanya dhambi kwa sababu tumemnung'unikia Mungu na wewe utuombee kwa BWANA atuondolee nyoka hawa basi Musa akawaombea watu BWANA...
  13. N

    Wabunge wa CCM waanza kulalamikia utawala wa Rais Magufuli, wadai hali ngumu ya maisha

    Nakuunga mkono kabsa ndugu ukiwaza sana unaweza ukatamani kwa hiki kipindi cha miaka hii ni kheli ungekua mzaliwa wa nchi nyingine na sio hii... Mtazamo wangu nchi hii kana kwamba sio yetu ni ya wanasiasa tuu... naichukia sana siasa..
Back
Top Bottom