lissu hategemei ubunge kutetea watanzania,amekuwa mtetezi kabla hata ya ubunge,na msipomchagua nyie huku mwanza tunamhitaji saana tu na tuko mbioni kuongea nae kumshawishi agombee huku...it will be a great honor to us,na siku zote NABII HATAMBULIKI KWAO,BIG UP LSSU