Recent content by ndaga2002

  1. N

    Must read: Ufisadi na Uchafu wa kapt. John Komba kwa wapiga kura wake

    KOMBA ni mchafu kabla hata ya hizi picha ......bado yuko ktk stage ya adolescence kiakili,amechaguliwa kimakosa,na hawezi kurudi bungeni tena labda akagombee msituni
  2. N

    Kwa wadada/wanawake wenye tabia ya kubaguabagua wanaume bila sababu za msingi

    these are the ideas of opportunists and gold diggers,na hakunaga mapenzi hapo...ni wanawake wenye ulafi na mapepo ya ngono ndo watawaza km ww.BUT LOVE IS OUT OF ALL THE STAFFS U'VE MENTIONED
  3. N

    Adam Malima ni 'mbumbumbu?'

    mbumbumbu mwingine huyu hapa,hajui hata source ya umbumbumbu unaozungumzwa
  4. N

    Adam Malima ni 'mbumbumbu?'

    mbumbumbu mwingine huyu hapa
  5. N

    Mgomo wa wafanyakazi wanukia makao makuu ya CHADEMA

    jf inaanza kupoteza mvuto kwa ubaguzi mkubwa wa hoja,wahuni tu
  6. N

    Mgomo wa wafanyakazi wanukia makao makuu ya CHADEMA

    chama kinazidi kupendeza na hakifi ng'ooo, acha taarabu, lawama ziwaendee wahusika wa jamii forum kwa kuruhusu mada km hii ipite za maana wanazipiga chini ujinga km huu wanaruhusu......jf sasa inapoteza mwelekeo
  7. N

    Mhando wa TANESCO na mkewe wapandishwa kizimbani!

    mengi nn tena?...acha wivu
  8. N

    Mhando wa TANESCO na mkewe wapandishwa kizimbani!

    hamna lolote usanii tu wa kuzima moto,mramba yuko mtaani anakula bata na yona,hoja sio kupandisha mtu kizimbani bali kutolewa kwa adhabu
  9. N

    Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

    Taja hilo tusi alilotukanwa nyerere,lini utakuwa na akili ya utambuzi?
  10. N

    Wanaojiita wazalendo wampinga tena mama Maria Nyerere

    Warioba kapandisha heshima yake sana kwa watanzania walio wengi wenye fikra za mabadiliko,nyie minority wenye mawazo mgando hamtusumbui...it's matter of time ndo mtamuelewa Jaji Warioba kwa kazi pevu alioifanya uenda ikazidi kwa mbali saaana kazi ya rais aliyofanya muda wote tangu aingie...
  11. N

    Mhe. Lissu, 2015 imefika

    lissu hategemei ubunge kutetea watanzania,amekuwa mtetezi kabla hata ya ubunge,na msipomchagua nyie huku mwanza tunamhitaji saana tu na tuko mbioni kuongea nae kumshawishi agombee huku...it will be a great honor to us,na siku zote NABII HATAMBULIKI KWAO,BIG UP LSSU
  12. N

    Jaji Warioba afunguka, asikitishwa na kauli za viongozi wa CCM

    Hata mm nashangaa,tena ikibidi aamie ukawa,huyu mzee wetu amefanya kazi nzuri sana lakn ataharibu akiendelea kubakia kwa viwete wa fikra,aache kulalamika tu achukue hatua atoke ccm
  13. N

    John Komba atishia kuingia msituni endapo wananchi wataamua Serikali tatu

    kwa nini huyu mchangiaji hamfungii na anatoa matusi?jf msipenddelee,tuone haki inatendeka
  14. N

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    nyani haoni...........pole kaka,pande zenu ndo hamfai kwa michepuko
  15. N

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    mzalendo halisi,unasemaje?
Back
Top Bottom