Mhe. Lissu kwa mtindo wa siasa na hamasa duni kwa sisi wapiga kura wako 2015 maeneo ya isuna, mungaa, mang'onyi, ntuntu, matongo,mahambe (nyumban kwako), mpaka iglanson na kwngneko.
Umefanya siasa kinzani na serikali bila kujali tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida, fanya bidii upate viongoz ktk ngaz za vitongoji, vijiji na kata ndipo utapoweza kufuatilia na kusimamia maendeleo, vnginevyo utaishia kushabikiwa na kushangiliwa na watu ambao hata jimbon kwako hawapajui.
aisse huo ujinga wako kamwambie mkeo.....kwan n wapiga kura gan hawajui kaz anayofanya lisu itasababisha hata maendeleo jimbon kwake? hlo jimbo n victim wa maendeleo ka sehemu nyingne za nchi hii.... multiplier effect tu kijana