Recent content by ndabita

  1. N

    Mbowe na tafakuri zake...

    Mkandara, sidhani kama kuwa na ambition ni kitu kibaya. Ni kitu kizuri sana. Tatizo ninaloliona mimi ni mtu mwenye ambition ambae ajenda yake ni madaraka tu na wala sio nini atafanya na hayo madaraka. Hili ndio tatizo la wanasiasa wengi wa Tanzania. Tukitoka hapo, watu wakiwa wanajua nini...
  2. N

    Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

    Jamani, tutafute habari zaidi. je, haiwezekani kuwa Richmond ilikwishuzwa zamani? Je, baada ya CRDB kukataa kutoa LC, nani aliwapa pesa Richmond za kuleta mtambo wa MW 20? Je, Richmond haikutumika tu ili tajiri mmoja mwanasiasa mwenye connections na higher authority wapate bila kujulikana...
  3. N

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    Sijafunga kamba mtu mimi hapa. Wala sijasema kuwa wanachama wote wa IDU ni conservatives. Soma tena thread yangu. Hayo ni maneno yako. IDU ni umoja wa vyama vyenye kufuata mrengo wa kati Kati-Kulia (Centre and centre right parties). Chama kama CDU cha Ujerumani ni christian dmeocrats - kwa jina...
  4. N

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    CHADEMA ni mwanachama wa umoja wa vyama vya kidemokrasia duniani kwa kimombo Internationla Democrats Union (IDU). Miongoni mwa wanachama wa vyama hivyo ni vyama vya Repulican na Conservatives of US and UK respectively. Vyama vingine wanachama ni pamoja na Moderat-chama kinachotawaka Sweden...
  5. N

    East African Federation (EAF) public Views

    Leo nimesikia kupitia kwa Dr. Willibrod Slaa,Katibu Mkuu wa CHADEMA kuwa Spika wa Bunge amenitaka niombe radhi kwa kusema kuwa ama hajui kanuni au anapindisha kanuni ili kusaidia Chama cha Mapinduzi. Nimepewa mpaka tarehe 11 nov kuomba radhi. Kwanza siji ni kwa nini Spika wetu Mhe. Samwel John...
  6. N

    East African Federation (EAF) public Views

    Mnakumbuka na mmesoma katika vyombo vya habari kuwa Wabunge 4 wa CHADEMA (Halima Mdee, Zitto Kabwe, Maulidah Anna Komu na Chacha Wangwe) walitoka nje kususia uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki. Pia wabunge wote wa CUF walitoka nje. Nawaletea barua ambayo Zitto aliandika kwa Katibu wa...
Back
Top Bottom