Recent content by Ndaba

  1. N

    Nyalandu kuhamia CHADEMA ameisababashia kupata mpasuko mkubwa na humo ndani ni fataki na mtifuano tu

    Yaani ndugu yangu usitumie nguvu sana kuwajibu hawa lumumba kwani wengi hawajielewi serikali yao badara ya kununua dawa hospitalin wanashinda kununua viongozi wa upinzani ccm tumewabana vibaya sana
  2. N

    Mali zaidi za Tanzania kukamatwa ughaibuni kufidia madeni, serikali yatuma watu Marekani kujinasua

    Na mazezeta yao wa lumunba wakiwa bungeni kazi yao kupiga makofi tu hiyo pesa ya mchanga iko wapi yaani wanakera
  3. N

    Mali zaidi za Tanzania kukamatwa ughaibuni kufidia madeni, serikali yatuma watu Marekani kujinasua

    Kabisa waendelee tu kununua upinzani badara ya kununua dawa mahospitalin pumbavuuuuuu
  4. N

    Mali zaidi za Tanzania kukamatwa ughaibuni kufidia madeni, serikali yatuma watu Marekani kujinasua

    Una akili sana wachumia tumbo kazi yao kupiga makofi hawawezi kumshauri kichaa wao
  5. N

    Freeman Mbowe must step down to allow the oppostion party(CHADEMA) to take off!

    Upinzani amini msiamini akiondoka mbowe na sefu sharifu ahmad upinzani umekwisha sisi kama wanachama bado sana tunawahitaji.watuongoze kwani kilio chenu na sala zenu.nyie maccm hawa viongozi waondoke ili wanaokuja mpate kuwanunua au kuwatishia hawa waliopo mtasubiri sana na fitna zenu
  6. N

    Unajua kwanini watu wanahama upinzani saa hii?

    Hizi nyomi za mikutano ya udiwani zimewatisha sana hivyo lazima zipangwe mbinu za kuvuruga wapinzani
  7. N

    Unajua kwanini watu wanahama upinzani saa hii?

    Ccm wamebanwa pabaya bora wanunue wananchi wote kwani ili mambo yao yawe mazuri watatue matatizo ya wananchi maji umeme matibabu nk umaskini umekithiri then wanategemea watanzania kwa vile ni mazwazwa waendelee kuwapigia makofi
  8. N

    Unajua kwanini watu wanahama upinzani saa hii?

    Wengine wanatishwa au wana biashara zao sio halali au hawajalipa kodi muda kama huyo anayejiita wakili msomi aliyekuwa act wazalendo ametishiwa kulipuliwa
  9. N

    Ninapo kuwa nipo home sina kampani, huyu ndiye rafiki wangu wangu wa ukweli siyo Snitch

    Yaani mimi mbwa paka wakae pembeni sinaga urafiki na hao wanyama
  10. N

    Wanawake wa JF tukutane hapa

    Umeongea ukweli mtupu mi yamenikuta niliangalia kwa nje mara nyingi mwanaume machine hawanaga sura nzuri
  11. N

    TUCTA mumepumbazwa vya kutosha amkeni

    Lakini kwa upande mwingine wakome utakuta hawa hawa watumishi wamevaa manguo ya kijani ya laana ya ccm na kuimba ccm mbele kwa mbele juzi mkulu anasema sitapandisha mishahara watu wanapiga makofi yaani ndio maana tunaambiwa asilimia kubwa ya watanzania walishasomewa albadiri hawajielewi
  12. N

    TUCTA mumepumbazwa vya kutosha amkeni

    Point kabisa nakupa five nchi hii walivyo waoga watafuta huu uzi
  13. N

    Wakati Tundu Lissu amelala ICU, Mh.Kingu amezidisha mashabulizi dhidi yake na kumchonganisha na wapiga kura!!

    Huyo mtu anashangaa nini alitakiwa kushangaa kwa nini nchi zaidi ya miaka 50 imekaa kama haina rais tuanzie hapo kujadili mpuuzi sana
  14. N

    Vikao vya kuzimu

    Hivi naomba niulize swali baada ya kufa tunaenda wapi hizi habari ukifanya mema kuna Mungu na mabaya unaenda motoni ni kweli au ni simulizi tu
Back
Top Bottom