1. Wana njaa kali wanatafuta pa kujishibisha
2. Wamekosa ukomavu wa kisiasa, wanafikiri upinzani ni lele mama
3. Wanafikiri upinzani hauna cha kusema angali hata Marekani/Uingereza/Ufaransa upinzani una mambo kibao ya kukosoa serikali
4. Ndoto zao za kunyakua madaraka na vyeo zimefifia
5. Hawana uvumilivu wala mipango ya kisiasa ya muda mrefu
6. Wamezoea shamra shamra, zikikosekana watazitafuta popote kwingineko
7. Wamezoea kusimama penye umati mkubwa na kushangiliwa
8. Wana ufinyu mkubwa wa mawazo
9. Hawana mrengo/itikadi imara ya kisiasa, kila siasa inayovuma inawapeperusha
10. Wanatafuta nafasi za uongozi ndani ya chama tawala wakikosa watakwenda kwingine
11. Ni wabinafsi wakubwa, hawasimami kwa ajili ya manufaa ya wananchi bali matumbo yao
12. Wamefanya siasa kuwa ajira binafsi kama kulima mpunga, shamba hili likichoka wanahamia shamba jingine na kutelekeza la kwanza
13. Ni matapeli wa kisiasa
14. Hawapo tayari kuwatumikia wananchi katika wakati mgumu
15. Wanategemea siasa pekee kupata fedha, watu hawa ni hatari kwa nchi
2. Wamekosa ukomavu wa kisiasa, wanafikiri upinzani ni lele mama
3. Wanafikiri upinzani hauna cha kusema angali hata Marekani/Uingereza/Ufaransa upinzani una mambo kibao ya kukosoa serikali
4. Ndoto zao za kunyakua madaraka na vyeo zimefifia
5. Hawana uvumilivu wala mipango ya kisiasa ya muda mrefu
6. Wamezoea shamra shamra, zikikosekana watazitafuta popote kwingineko
7. Wamezoea kusimama penye umati mkubwa na kushangiliwa
8. Wana ufinyu mkubwa wa mawazo
9. Hawana mrengo/itikadi imara ya kisiasa, kila siasa inayovuma inawapeperusha
10. Wanatafuta nafasi za uongozi ndani ya chama tawala wakikosa watakwenda kwingine
11. Ni wabinafsi wakubwa, hawasimami kwa ajili ya manufaa ya wananchi bali matumbo yao
12. Wamefanya siasa kuwa ajira binafsi kama kulima mpunga, shamba hili likichoka wanahamia shamba jingine na kutelekeza la kwanza
13. Ni matapeli wa kisiasa
14. Hawapo tayari kuwatumikia wananchi katika wakati mgumu
15. Wanategemea siasa pekee kupata fedha, watu hawa ni hatari kwa nchi