Waswahili wanasema....kiporo hakihitaji moto mwingi....bro hiyo ishu....utapata kisukari kwa mawazo ufe bule........uza jenga kwingine............ila kiukweli jamaa anakugongea.......wanawasiliana hao hatua kwa hatua....ukizubaa sumu inaweza kukuhusu wapate nafasi ya kujinafasi.....
Walimu wanalipwa mshahara mdogo sana.......wanaishi kwa kuungaunga tu.....hakuna posho wala allowance yoyote....anategemea mshahara 100%...hakuna night wala safari ya kikazi.....ni chaki mwanzo mwisho.......Ualimu ni issue asikwambie mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.