Magufuli aibua mtikisiko urais

Magufuli aibua mtikisiko urais

wagombea wa ukawa bado hawajaanza kutangaza nia,maana mda unazidi kwenda wako kimya tu
 
Magufuli siyo msafi kihivyo lakini ukimlinganisha na Lowassa na Mwigulu basi Magufuli ataonekana anafaa ndani ya CCM lakini kwa kuuza rasilimali za Taifa na kuwagawia watu binafsi kwa bei ya kutupwa na hata ndugu yake akaonekana anamiliki nyumba ya hadhi wakati siyo mtu muhimu serikalini basi hana usafi. Pili alijenga lami kupitia kwake Chato bila kupitisha hiyo b=plan Bungeni, anaweza kufanya vituko akiwa Rais, labda anafaa U-waziri Mkuu.
Ujingaa huuu pumbaa
Pumba
 
Huyu nae hatufai.jamani mwaka huu ni ukawa tu
 
Rais wa Tz hawezi toka Kagera, Mbeya, Mwanza, Shinyanga, Bunda, Arusha, Singida and the like character.

Jihoji why????
 
Kuna mtu mmoja jana alisema hivi, "Kutafuta mgombea safi toka CCM, ni sawa na kutafuta Bikra kwenye Wodi ya Wazazi...."

mbona mnakatisha tamaa kwi kwi kwi JF....ndio nani?
 
Huyu aliye uza nyumba zetu kwa bei za kununulia ndizi akishirikiana na Mkapa ndiye mnatueleza ni mgombea pendwa CCM?
 
atuambie kwanza kisa cha kucheleweshwa kwa umeme huko katoro/buseresere
 
Huyu aliye uza nyumba zetu kwa bei za kununulia ndizi akishirikiana na Mkapa ndiye mnatueleza ni mgombea pendwa CCM?

Saed Kubenea anauliza:

"Ukiwa serikali ndio nyumba za serikali ziliuzwa, unasemaje kuhusu hili?

Sumaye anajibu:

"uuzwaji wa nyumba za serikali, Rais alishauri na cabinet na akakubali.

Kuna tume tatu zilifanyia kazi suala hili kwa muda tofauti na zote zilikuja na mapendekezo kuwa nyumba za serikali ni nyingi na serikali inagharamia fedha nyingi kuzikarabati na hivyo tuwauzie watumishi wa Umma.

Tulikuwa na nyumba nyingi mfano Breweries na bandari walikuwa na nyumba zaidi ya elfu moja.

Nyumba nyingi zilinunuliwa mpaka na wananchi wa kawaida, Rais alishituka kuona ghorofa zinainuka Oysterbay zilipokuwepo nyumba za serikali.
Rais akasema lazima paper iandikwe wauziwe wafanyakazi waliokuwa wakiishi humo na hakuna kuuzwa mpaka baada ya miaka 25, na gvt valuer akafanya tathimini na watumishi wa serikali wadogo kabisa wakauziwa"
 
Rais wa Tz hawezi toka Kagera, Mbeya, Mwanza, Shinyanga, Bunda, Arusha, Singida and the like character.

Jihoji why????

una matatizo,yaani ujenge hoja nusunusu halafu unataka watu wahihoji? umeweka basis zipi za kutufanya tujihoji? kutaja mikoa na wilaya?
 
una matatizo,yaani ujenge hoja nusunusu halafu unataka watu wahihoji? umeweka basis zipi za kutufanya tujihoji? kutaja mikoa na wilaya?


We chinembe subiri, TIME WILL TELL YOU.
 
Magufuri karibu sana kwenye mchakato wa watia nia. Ila nafasi unayoomba ungetwambia nini unategemea kufanya pamoja na vipaumbele vyako ni kitu kizuri sana
 
"Diploma ya kemia na hisabati"
"Akichukua masomo ya kemia na Hisabati"
"Shahada ya uzamili katika masomo ya kemia na hisabati". Naona kama sijaelewa huu wasifu jamani.
 
Rais wa Tz hawezi toka Kagera, Mbeya, Mwanza, Shinyanga, Bunda, Arusha, Singida and the like character.

Jihoji why????

Tumekupata mkuu,mbona mnapokea Kodi zao kuendeshea serikali sasa,si miwaambie wasilipe pia?
 
kile kivuko chabagamoyo mbona kinamaliza miezi sita tangia kimekuja na haianzi kazi ?
atuambie alipiga shiling ngapi kwa kutuletea kivuko ambacho ni kibovu
 
Back
Top Bottom