Recent content by Ncha Kali

  1. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Je tume ya Jaji Chande imekidhi matarajio ya Watanganyika?

    Asitokee kiumbe yeyote kuomba sijui ripoti, hii ni mali yangu.... ni mali ya Rais.
  2. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Napinga kauli ya Freeman Mbowe ya kumsamehe Sabaya

    Mbowe alisha-graduate kama Sabaya.
  3. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Msemaji Mkuu Wa Serikali Gerson Msigwa awaita walipa kodi 'Nguchiro'. Ni kiburi cha aina gani hiki?

    Kumbe nguchiro ndo a certain individual?
  4. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Tushaambiwa tuwazomee majizi hadi waone aibu.
  5. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Kifo cha William Lukuvi na Jenista Muhagama. Ni fumbo kubwa linalotakiwa kufumbuliwa, Who is Next?

    "Kwa ukimwi wanakufa masikini, wakidondoka viongozi ni shinikizo la damu." Hao ~ Joe Makini.
  6. Ncha Kali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu ambazo hufanya wanandoa kunyimana tendo la ndoa kwa makusudi, changamoto zake na madhara yake

    Hivi unanyimwaje uchi?
  7. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Uzi wa nyimbo zilizo tumia AI

    Uzi tayari?
  8. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Nakuuliza swali mama Samia kulikuwa na ulazima gani wa kutaka kulazimisha kuwatawala watu wasiokutaka na kukupenda?

    Nchi za kidemokrasia zina uongozi, hazina utawala.
  9. Ncha Kali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa hali hii wanaume wengi tutaoa kweli?

    Usipooa utaolewa tu, no more no less.
  10. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Kwa Mwigulu watanzania tuna Waziri Mkuu Kivuli

    Kwamba siku ya uhuru tuadhimishe kwa kujifungia ndani, ni uhuru upi?
  11. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Yanayoendelea Tanzania yanafurahisha sana

    Kichaa ni kichekesho mno ikiwa tu hakuhusu.
  12. Ncha Kali

    JamiiForums Tanzania Ifahamu nchi yenye visiwa vingi

    Wewe new member, nchi zooote ni visiwa tu kwenye bahari moja.
Back
Top Bottom