Wanafunzi wa elimu ya juu wanaanza masomo jumatatu. Cha kushangaza bodi ya mikopo inaendelea kupitia maombi ya mikopo kwa waombaji wa mwaka wa kwanza wapatao elfu 12. Wengi wao wameshafika vyuoni, hawana ada na pesa za kujikimu na vyuo vinasema mwanafunzi hasajiliwi bila kulipa ada kuanza 60%...
Jamani msaada kwa mlioko karibu na tamisemi, Hii taarifa ya waliokamilisha taratibu za uhamisho mwaka Jana na kuzituma tamisemi kurudia mchakato upya zina ukweli?
Jamani mke wangu ana mimba ya mwezi 1 na wiki 2 lakini hawezi kula chochote, kila anapoona chakula chochote kile anatapika, hawezi kunywa maji na wala kula matunda yeyote. Je nifanyeje?
Kwa muda mrefu tumekuwa kwenye muungano huku Zanzibar wakiwa na serikali ya huku mambo ya Tanganyika yakishughulikiwa na serikali ya Muungano na rais wa Jamhuri ya muungano akiwa pia rais Tanzania bara.
Mwelekeo unaonesha katiba mpya itaturejesha kule kule, mimi nadhani kama tunataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.