Jamani mke wangu ana mimba ya mwezi 1 na wiki 2 lakini hawezi kula chochote, kila anapoona chakula chochote kile anatapika, hawezi kunywa maji na wala kula matunda yeyote. Je nifanyeje?
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sitakagi kukumbuka karaha za vichefuchefu! Mimba zangu zote huwa natapikaaaaaaaaaaaa. Ni shidaaaaaaaa!
Mimi sitaki kushindana wala kubishana kwasababu ndio unavyotaka wewe na mimi sijakuingilia ushauri wako unaotoa wa miti shamba nakupa mfano tu ya kwamba hata vitu vya kawaida sana ambavyo wewe huvitegemi kuwa na madhara vinaweza kuwa na madhara.Kwani vitamin K inatoka kwenye products gani?(mayai,broccoli,cauliflower n.k),Mafuta ya omega 3 yanapatikana wapi ofcoz kwenye samaki wa kawaida kabisa kama vibua.And by the way nani aloanzisha suala la side effect hapa?si ni wewe…Kama wewe una deal na mitishamba sawa hata mimi nadeal nayo lakini iliyopitia GOOD MANUFACTURING PRACTICE(GMP)….na nadeal na dawa za kawaida zinazojulikana sideeffects na zilizopitia GMP ….Everybody happy right!!Na MziziMkavu si lazima kila mtu akubaliane na wewe!
Me mwenyew nna mimba ya miez miwili ila kichefu chefu balaaaa.
Jamani mke wangu ana mimba ya mwezi 1 na wiki 2 lakini hawezi kula chochote, kila anapoona chakula chochote kile anatapika, hawezi kunywa maji na wala kula matunda yeyote. Je nifanyeje?