Ila hawa wenzentu sijui wanajifikiriaje? Mimi hua nawaona ni watu wakawaida saana yaani kama sisi, ni binadamu kama vile sisi wakristo. Ila wao wanajiona ni tofauti saana na sisi. yaani kama wako dunia nyingine vile.
Huko iraq ambako kuna waisilamu wengi tena wamejigawa eti washia na wasuuni...
kumbe wengi ni washirikina? mhh halafu inawezekana, kuna Jirani yetu ana miaka 75 analinda duka la muhindi usiku namshangaaga sana maana siku nyingine anakua kachoka saana lakini anakwenda kazini tena usiku ni balaa
Mnamkumbuka Mfalme daudi alivyolala na mke wa Afsa wake mKUU na kumpelekea yule mwanamke kupata Ujauzito? Mungu alimtuma Nabii aende akamwambie Daudi kitendo alichofanya ni laana na ni chukizo mbele za Mungu lakini Daudi alijua nafasi ya ufalme kapewa na Mungu alikua mnyeynyekevu akaomba na...
Yaani mngejua jinsi serikali inavyowategemea viongozi wa dini katika kujenga jamii tusingefanya hivyo, Leo Mwingira akiwaambia waumini wake wafanye hivi na watafuata kumbuka Mwingira ana waumini wengi,hali kadhalika Kakobe,Lusekelo, na makanisa yote. Tuje na Misikitini bado kuna waumini wengi...
Kuna professor mmoja wa chuo kikuu alimpiga mkewe hadi yule mwanamke baadae alikuja kufa simkumbuki jina lake huyo proffessor . Mi nafikiri ukiwa prof. tena mwanaume unapatana na ka laaana fulani haswa unapomuona mkeo, maana wengi maisha ya kifamilia/kindoa yanawashinda saana. Hivi ni maprof...
Unajua nchi yetu imakua na viongozi iwe kwa njia yeyote wanataka madaraka, hawa viongozi wa deni wameshasema saana,wameshauri lakini serikali imeweka pamba masikioni, sasa wao wafanyeje? Ni ngumu wao kusemasema kila wakati kwani sasa wameacha wao viongozi wafanye watakavyo. Angalia wananchi...
mbona kuna watu mmekasirika sana na msemo wa shy land, kikubwa anachotakiwa atuambbie hiyo research kaifanya lini na atupe takwimu na majibu yake, inawezekana akawa na ukweli wake.
Mleta uzi hebu tupe takwimu ya hiyo research yako.
Huo waraka una Ubaya gani? Acha dharau, mie nimeona kamuasa wassira aseme ukweli. Kumwambia hivyo ndo uzee umemfikia mwisho? Wassira ndo anajitoa akili kama ambavyo sura yake ilivyo na akili ndo anakoipeleka. Kama na wewe unamsapoti Wassira basi una maslahi binafsi. Wassira alikosea kujinadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.