Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Darasa gani??? Acha kuropoka tulia kama hujui
sijui nini sasa hapa??
Darasa gani??? Acha kuropoka tulia kama hujui
Dah siku ikifika Wassira ataumbuka vibaya sana sana
Kuna wengi hawajatambua hekima na njia aloipitia Jakaya, ni kweli alilipa visasi vingine bila yeye kupenda, aligombanishwa na wengi kwa kuamini sana type ya huyu wasira, yeye alipobaini akavunja kambi strategically. ...JK wa 2005 siyo huyu anayeondoka....sasa yeye yuko tayari kwa swala ya hijja kwani nafsi yake imejiridhisha na ndio maana ukimuangalia usoni majibu unayaona wazi kuwa amechoshwa na wachumia tumbo waliomzunguka ktk tenure yake kwa kumpamba kinafiki ila rohoni anajua wazi "Ole wao wanafiki siku akiondoka Ikulu" JK ana mapatano kwa matendo pale pote alipogombanishwa na kufitinishwa, ole wenu msiomsoma Jakaya kwa hekima pevu usoni....
huo waraka akiandika Warioba nitaona uzee umemfika kiwango cha juu sasa na ni utoto.
Huo waraka una Ubaya gani? Acha dharau, mie nimeona kamuasa wassira aseme ukweli. Kumwambia hivyo ndo uzee umemfikia mwisho? Wassira ndo anajitoa akili kama ambavyo sura yake ilivyo na akili ndo anakoipeleka. Kama na wewe unamsapoti Wassira basi una maslahi binafsi. Wassira alikosea kujinadi hadharani kupitia jina la mtu
Si umezoea kuumbuka ndo unajifananisha nae yule si level yako
Aliekuumba ww ndo kamuumba yeye
Waraka wa Warioba ni mzuri.
Bila shaka Mr Tyson anatafuta pa kutokea. Warioba ni mwanachama wa CCM si CCM! Kama kungekuwa na tatizo kipindi hicho, basi angepeleka malalamiko CCM na si kukimbia chama. Ni aibu kwa mtu anayehamahama kwenye vyama akagombea nafasi ya urais kama vile hamna waadilifu na wakereketwa ndani ya chama.
Bila shaka anaposisitiza kuwa UKAWA warudi kwenye vikao vya BMK angetakiwa kujua kuwa hiyo principle ilikuwepo ndani ya CCM tangu enzi hizo za Warioba. Na alichotakiwa kukifanya ni kujisalimisha kwenye chama na si kwenda NCCR.
Anjo
huo waraka akiandika Warioba nitaona uzee umemfika kiwango cha juu sasa na ni utoto.
Anayekutumia amekuharibu ubongo wako, sasa unawaza kama yeye, pole.
Kamwambie Wassira hana kashfa hata moja, hayo yote mnajitahidi kutunga kumchafua Rais wa Watanzania mtarajiwa.
Hivi mnajua Jaji Warioba anaandamwa na ile organ ya Dkt Magufuli eti aondoke kwenye nyumba yao alikoweka ofisi zake Masaki! Hivi JK au JPM wanalijua hili jambo? Acheni kumchafua JK na Magufuli kwa usanii huu, kawakosea nini huyu Jaji?
aliekuumba ww ndo kamuumba yeye
pia wasira atueleze ni kwanini anachukua ela Tacaids kila mwezi.
Warioba atabaki kuwa MWAMBA wa Taifa hili! Kwa kusema ukweli pasi na unafiki, amekuwa mtume mwema na mwaminifu. Wezi, wahafadhina, walafi, viwavi, wavivu na wapuuzi watamuona J S Warioba kama shubiri na mwiba juu ya ulafi wao! Asante Warioba. Taifa bado linakuhitaji iwe ndani ama nje ya ccm.