Hata mie nimeshindwa kuelewa!!! sasa wewe unamtakiaje rais ashindwe huku ukijua akishindwa hasara ni taifa zima? MUNGU amtie nguvu Rais wetu jamani ili hii mipango ifanikiwe maana faida ni taifa, sisi sote tutaitumia hiyo reli ama kwa kusafiri moja kwa moja au kusafirishia mizigo yetu.
Kama sisiyenu itasikia kilio hiki basi siyo ile ile tena, ila niijuavyo sisiyenu haiko tayari kusikiliza haya yote badala yake inampango waku kuyaongezea miaka haya makampuni, si unakumbuka sakata la gase ya mtwara?
sisyenu ndo iliyouza dhahabu ya tz kwa bei jojo mpaka miaka 100. Kwahiyo maada...
Sasa hapo mimi nilizani umekuja kutuelimisha kuhusu mazingira ya hiyo reli ya kenya, ardhi yake ikoje, kuna madaraja mangapi ukilinganisha na ya Tanzania ili tuweze kujua nikwanini km zinatofautiana kidogo lakini garama ya Tanzania inaingia mara mbili kwa ile
ya Kenya.
Acheni uongo wa kisiasa ili mteuliwe, hayo majengo kamwe hayawezi kujengwa na bil.10, hiyo mmeitengeneza ili mpate umaarufu ila bei halisi mnayo mifukoni mwenu, hata CAG analijua hilo.
JPM mbele kwa mbele, hongera mkuu kutujuza maana tulitaharuki ni nini kimejiri kwenye huu mradi mkubwa na wenye faida kubwa mno hasa watanzania wa hali ya chini. Hebu nijulishe tafadhari ni lile bomba la kutoka Ug had Tng? au mtwara kwenda Dar? na tulipigwa kiasi gani cha pesa, je gharama halisi...
Hii iwe funzo kwa viongozi wa ki-Africa ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakiibia nchi zao masikini na kuwanyonya raia zao kwa kukwapua mabillioni ya shilingi na kuyaficha kwenye mabenki ya USA na EU.
Ni ukweli uliowazi kuwa hawa viongozi wetu wanapoibia nchi zetu masikini hizi na kuhifadhi...
Sasa hivi ndugu kila taifa limeshutuka kutoa misaada kiholela kama zamai, kumbuka USA ikibana ujue hata UK na EU zitashutuka kwasababu kila nchi hasa nchi kubwa inajitahidi isipitwe na nyingine. Lazima EU na UK zitataka kuona ni nini USA inataka kufanyia pesa yake ikiwa imekataa kutoa misaada...
Ni ukweli usiofichika kuwa kwa miaka mingi USA imefadhili kwa wingi utoaji mimba unaondeshwa na marria stoppes, hii imesababisha binadamu wengi wauawe wakiwa tumboni mwa mama zao na hivyo, tumepoteza watu wengini mno ambao pengine wangukuwa msaada kwa jamii.
sasa Trump amefuta kabisa na kupiga...
Uzuri ni kwamba anayeiunga mkono Yisrael ndiyo mshind kwa vyovyote vile, shule za kigaidi hazikubaliki lazima zitaifishwe tu zikabiziwe kwa serikali ya Uturuki
Ameeneza dini yake uislam huko USA, isn't that change? JPM naye si aliahidi mabadiliko ya kweli, kupambana na ufisadi, chaajabu bado IPTL inanyonyeshwa na Tanesco 8bilonthly, mwafa!!!:D:p
Lo! kwakweli JK personality alijuamini, na hakuogopa eti wapinzani wakifanya mikutano itamuondolewa utawala wake bali alitawala kama kiongozi asiyeogopa hata wangemsema vibaya yeye alijua ni kiongozi wa watanzania wote, na alijua wazi uhalisia wa siasa kuwa mpinzani siku zote anakazi ya kuikosoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.