Upo sahihi, hakuna tulichitegemea zaidi ya kukanusha madai haya. Endapo yangukuwa yanatazamiwa ka chanya basi wangeyakubali!! "Mtu mzima kumdanganya mtu mzima mwenzake kwa maneno ya kitoto kuna walakini"
Mkuu nimesikia kuwa kuna mgomo wa madereva Mbeya inaweza kuwa sababu ya kujaza abiria wote. But maeneo ilipoanguka hiyo gari ni pabaya sana, panahitaji umakini zaidi kwa madereva.
Maamuzi yake magumu ya kukaa kimya bungeni na kuingizwa kwenye top 10 ya wabunge ambao hawatoi wala kuuliza swali lolote bungeni, yeye akiwa ameshikilia Na 5 inamaana hsts top 5 kwa wabunge!!!
Mkuu umeongea jambo la msingi kabisa ambalo linafichwa kuonesha uchafu wa EL na serikali ya ccm. Hakuna aliyeonewa katika hilo zaidi sisi wananchi wa kawaida.
Mshamba na mtu mwenye low thinking capacity pekee ndiyo anayejitutumua na kujikakamua kubishiana kuhusu vyuo, sidhani kama kati yenu kuna aliyehold degree!!
Kwahiyo mnavyomburuza Gwajima mnadhani mtamburuza na katibu mkuu wa Chadema!!kwanza mwenyewe alitoa habari hiyo hajiamini anaficha jina lake!!sasa wakikutana mahakamani kwenyewe woga si utamuua!!tena makosa yasiyo na msingi wowote, basi kama ingekuwa hivyo 90% ya wanachama ccm ukiwemo wewe...
rasimu ya pili ya katiba ilikuwa ns hicho kipengele kinachompa nguvu mwananchi kumwajibisha mbunge kama hawajibiki effectively. Hakuna njia mbadala sasa kwasababu wananchi wanaweza kutumia nguvu na weredi wao kumchagua mtu wanaoamini kuwa atakuwa mwadilifu na mchapa kazi.kwasababu lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.