I thought I was the only one seeing this, asante sana mdau kwa kulileta hili jamvini.
Kiukweli Wema kajiharibu sana, hata picha alizopiga juzi kwenye uzinduzi wa filamu yake ni balaa, yani hana mvuto tena.
Mnaomfahamu tunaomba mumshauri, ni kwa mema tu.
No offence intended.