fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 391
Ukwaju Hakuna cdm aliyeonekana kwenye migomo ya maDR, ila nakuuliza tu ni kwamba humu JF wote wanaoishabikia cdm ni wachagga na wakristo?? Mnajidanganya wewe na wenzako wenye mawazo kama hayo, kama kweli una ushahidi wa wabunge wa cdm kula misaada wanayopewa tafadhali tushushie data hapa ili tuwakatae maana hilo ndio tatizo la serikali ya magamba tunayopambana nayo..
Zitto mimi nakukubali sana tu ila kuhusu mwandishi tajwa ni kweli hupenda kuandika habari -ve za cdm, na hiyo inaonekana kuna mkono wa mtu.. ukijaribu kuangalia kama mwandishi utagundua huandika habari ambazo anatarajia zitaleta msuguano ndio maana humwandika Zitto kwa staili ya kutikisa cdm yote.. Kwani unafikiri mzozo ukizuka ndani ya cdm Zitto na kina Slaa watasalimika? Hiyo ndiyo strategy ya Semtawa..
Zitto mimi nakukubali sana tu ila kuhusu mwandishi tajwa ni kweli hupenda kuandika habari -ve za cdm, na hiyo inaonekana kuna mkono wa mtu.. ukijaribu kuangalia kama mwandishi utagundua huandika habari ambazo anatarajia zitaleta msuguano ndio maana humwandika Zitto kwa staili ya kutikisa cdm yote.. Kwani unafikiri mzozo ukizuka ndani ya cdm Zitto na kina Slaa watasalimika? Hiyo ndiyo strategy ya Semtawa..
Last edited by a moderator: