Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,666
- Thread starter
- #21
Tatizo co uchumi tatizo hanijali hata emotionally wachia physically,yaani haoneshi mapenzi!mwenzio akiumwa muhimu umjulie japo hali!!wewe unamuongopea mwenzio ampige chini! mwenzio kasema kamuacha ila bado anampenda so hawajaachana, utaonekana mmbeya - mpe confidence mwenzako aendelee kumpenda mwenzake coz bado anampenda, pia, I thought ungemshauri azidi kumvumilia coz she had him for over 4 years, kwa nini amshindwe sasa? Mwambia nadhani huyo shemeji yetu hana kazi, so ukiwa too demanding kwa vitu vikubwa ambavyo ni zaidi ya uwezo wake ataona kama unamcheka/unamsanifu - hasa hayo mambo ya matibau kwake una maanisha bill na anatakiwa kulipa, awe anamwambia kuwa anaumwa ila "I have gone for medical check up and dr. kasema nitapona kama nitamaliza dose", keep praying for him apate kazi, and mind you sijasikia anasema huyo shemeji anam-cheat...mshauri avumilie please ni mambo ya uchumi tu hayo[/LEFT][/RIGHT][/LEFT]