Tangu mwishoni mwa wiki iliyopita mchepuko wangu umekua ukidai idd imekaribia hivyo inakuaje? Kila akianzisha mada ya idd mm naingiza mada nyingine, hivyo hivyo hadi Jana alipoomba kuonana na mm uso kwa uso, nilipotoka kazini tukakaa fyatanga bar boko maana wote tunaishi maeneo hayo, akaanzisha...
Baba mchungaji Asante sana kwa taarifa hii na ufafanuzi uliotoa, ningependa sana wote wanaoleta habari hapa wafanye kama wewe, upo objective, hauna ushabiki wa kijinga, hata kama unao, ushabiki huo ukaonekana kupitia nondo unazotoa, sio kama yule anaesema USA baby kila Hoja yy ni USA baby
Shida kubwa ya huyu mohamed ni kuwa hajui kingereza, kwa hiyo ana bahatisha tu mjadala unavoenda anadandia
Hajui haya maneno yametamkwa na putin mwenyewe na sio opinion ya mwandishi, mwandishi amemnukuu tu
Tyson mwenyewe anasumbuliwa na mkewe itakuja mm?
Bosi wako kazini unaemuogopa sana hata kufikia hatua ukimuona ile asubuhi unatetemeka si ajabu nyumbani kwake anapigwa makofi kabisa na mkewe na kuamrishwa
Ndoa ni kitu tofauti na ubaunsa si swala la uvulana au uanaume
Siku ukibalehe na...
Wadau nawasalimu,
Hivi karibuni nilikuja kugundua sina nguo kabisa, inafika asubuhi au wakati wa kutoka natafuta nguo kila nayoshika mkononi either inanibana au imechanika kabisa hivyo najikuta narudia nguo za Jana ama Juzi.
Kutokana na tatizo hilo nilipopata pesa nikaenda nikanunua nguo...
Wadau habari
Juzi nilitoka job mapema sikua najisikia vizuri, nilipofika home nikalala muda mrefu sana, nilipoamka jioni sana nikaenda nyuma ya nyumba kujinyoosha nashangaa kumkuta shemeji mdogo wa wife kachuchumaa chini anakojoa wakati ndani choo kipo
Hata hivyo kilichonivutia zaidi ni...
Huu ni uongo uliotukuka, dada wa watu katushika wanaume pabaya, sasa watu wanaanza kumsingizia vitu vya uongo
Hebu jiulize swali, dada ameleta uzi asubuhi ya 31/12/2015 akielezea life yake kwa majivuno, halaf masaa machache mbele ajisahau aseme yy ni muuza simu kwenye pm, haingii akilini...
Na wewe unaamini kabisa, kwamba mtu anaweza kuingilika na mtego wa kitoto kama huo, vijana wa jf ni waongo sana, dogo anatafuta kiki kwenye uzi wa watu, thats all
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.