Habari za wakati huu wana jukwaa
Nahitaji kupata mtu kwa ajili ya kufanya nae biashara joint kwenye shughuli za uchimbaji
Nina uzoefu wa miaka 2 kwa sasa,nikiwa namiliki duara kadhaa,miaro ikiwa na crush(garasha),mashamba yenye uwezo wa kuchimba
Napatikana mkoa wa Mara wilaya ya Bunda...
Wow,hongera na pole nyingi mkuu,.....nimesoma yoote nimejiona junior kwenye hustle zangu
Japo nipo kwenye mchakato wa kuzamia Korea kusini nikachakalike
Hongera mwanangu.
Nenda fb muone Dr Chris Cyliro
Zote ulizopost ulisubiri amalize kuandika na wewe unaleta
Tangu ya kupotea kwenye kisiwa na sasa kaanza kusimulia nyingne.
Ka copy fb kwa dr Chriss Cyliro
Ndiyo mwandishi wa hizi makala,hata story iliyopita mwandishi ni yuleyule
Huyu wa humu jf yeye anabeba kama ilivyo analeta huku na kujidai ni yeye!!
Kama una budget nzuri nenda Kanoni hotel bei inaanza na 30k hadi 60k
Hiyo chumba ya 60k ingekuwa hapa Dar hata 300k ungechajiwa
Nb: Hawauzi pombe wala hakuna mziki, vyumba vizuri vina kila kitu utulivu ndiyo mahala pake
Lakini mtaa ilipo Kanoni zipo hotels na lodge nzuri Sana pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.