TTCL kwenye Fiber hawana mpinzani....yaani kifurushi kile cha chini kabisa cha elf 55,000 kwa sasa speed ni 60mbps
Yaani mara tatu zaidi ya ile ya awali..
Sidhani kama kuna mtandao utaweza kuizidi TTCL kwenye Kasi ya Fiber labda ni Kwa sababu wao TTCL ndiyo msambazaji mkuu wa Fiber...mitandao...
nakumbuka Israel walipomshambulia Nasrallah vyombo vya habari vya israel vilikuwa wa kwanza kutoa taarifa na watu wakakanusha lakini baadaye ikathibitishwa ni kweli...pia alipouwawa yahya sinwar, waziri mkuu wa Yemen na viongozi wengine wengi .... NAUMIA SANA MOYONI KUSIKIA TAARIFA HIZI ILA SINA...
Sijui maswala ya uchumi ila mnisaidie ..ina maana Dola moja ya marekani ni sawa na Milioni moja ya Irani???
Kwa sababu hapa kwenye wallet nina Dola kumi...kwa hyo nikienda Iran nna million karibia kumi za huko...🤣🤣🤣
Au ni mimi sielewi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.