hili tunalijua sana ila tumeamua kujifunza kupitia maisha ya netanyahu....ni uhuru na uamuzi wa mtu kujifunza kwa anayemtaka na wewe una uhuru wa kujifunza kwa unayemtaka.... kama wewe unajiona siyo mtumwa basi ni kwa faida yako na familia yako..... Songa mbele
Naomba niongezee kidogo, Ulipomzungumzia Netanyahu kuna wakati natafakari kuhusu maisha yake nashangaa sana ....hata kama humpendi ila kuna somo hapa
jamaa ana vikwazo kila kona lakini hakati tamaa na harudi nyuma...
1) Mahakama ya ICC imetoa Waranti ya kukamatwa kwake na kuna baadhi ya nchi...
TTCL kwenye Fiber hawana mpinzani....yaani kifurushi kile cha chini kabisa cha elf 55,000 kwa sasa speed ni 60mbps
Yaani mara tatu zaidi ya ile ya awali..
Sidhani kama kuna mtandao utaweza kuizidi TTCL kwenye Kasi ya Fiber labda ni Kwa sababu wao TTCL ndiyo msambazaji mkuu wa Fiber...mitandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.