Recent content by nature man

  1. nature man

    Ukweli juu ya waliohudhuria Mkutano wa Lissu USA

    Mm bnafc nataka mtu wa kujibu hoja zake hata km angepata watu3 inatosha
  2. nature man

    Wanawake ni viumbe wa ajabu.

    Mmh hilo sio jicho ni hisia(instinct) sio jicho
  3. nature man

    Sijawahi Kumuamini Tundu Lissu na sitamwamini maishani

    Kwani we usipomwamini kuna shda gani kwa mfano?
  4. nature man

    Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani wamuwakia Lissu, kwenda DW kutoa ufafanuzi wao

    Hahahha safiiiii pale akiri ndogo inapopambana na akili kubwa ni patamuuuu
  5. nature man

    Wabaya wa Tundu Lissu CHADEMA hawa hapa, watamkwamisha kuwa kinara wa chama!

    Kwani kama kweli huu mkakati ni chadema je? Inazuia nn kufanya uchunguzi?? Mbona watoto waliouwawa hajaojiwa maiti hata mmoja ila watu wamekamatwa?
  6. nature man

    Mtu mwenye ujasiri wa kumtukana Kiongozi wa Nchi!

    Ametukana kvip? Na je kati ya vitu alivyosema vimetokea au hamna? Tuache unafikiiiiii
  7. nature man

    Lissu muongo! Rais Magufuli alisema neno kuhusu kushambuliwa kwake

    Inawezekana aliandika ili watu tusiseme vip??? Ila kwa Wakristo tunajua kuwa hata baada ya YUDA KUCHUKUA VIPANDE VYA PESA bado alikuja na wauaji na akambusu YESU kama ishara ya upendo! Tafakari
  8. nature man

    Mfahamu kinyonga

    Sifa zingine umezitoa vzr ila No.4 hiyo sio kweli kwamba anapasuka wapo wanaotaga mayai na wapo wanaozaa kawaida bila kupasuka in fact hyo huwaga ni just story its not fact! Tafuta kinyonga anayeitwa Jackson Chamilion utaelewa zaidi
  9. nature man

    Straight Talk Africa na Shaka Ssali: Tundu Lissu jino kwa jino na Balozi Wilson Masilingi

    Nimesikiliza vzr Lissu ni fire in fact hachafui nchi wala hasemi vibaya Rais wetu ila asema fact! Tuache kutafuta visababu et oooh anachafua nchi hamna[emoji23]
  10. nature man

    Tundu Lissu si wa kupuuzwa, anapaswa kujibiwa

    Silence means YES
  11. nature man

    Hivi hawa Tecno mnawaelewa?

    Mm niko na kitu tunda Apple so poleni ndg zangu ila na nyie mtafika kumiliki vitu vikali si Calculator TCNO
  12. nature man

    Askofu Kilaini athibitisha chanzo cha sikukuu ya Christmass ni cha kipagani

    Bnafc mm nasema sisi hasa wabongo tunafuata sana mkumbo afu tunajifanyaga tunajua Bible kuliko hata hao walioileta, ila ukweli hata Yesu mwenyewe hakuwahi kuishelekea kwa sababu alijua chanzo chake ni cha kipagani, hata sisi tuoazimisha siku ya kuzaliwa bado tunakuwa tunatukuza imani za...
  13. nature man

    Zitto adai Serikali imekopa kisiri siri pesa za kujenga mradi wa umeme wa mto Rufiji au Stiglers Gorge

    Bnafc mtu km zitto apongezwe kwa sababu deni lolote ni la Watanzania wote na kuna utaratibu wa kukopa mfno, bajeti imeishapitishwa na Bunge sasa wewe km serikali unaongeza unatoa wapi mamlaka nje ya bajeti? Pili unafungia “BUREAU za kubadilishia hela za kigeni eti zinashusha thamani wakati ww km...
Back
Top Bottom