Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,115
- 6,827
Mwanamke ana uwezo wakuona jambo flani au kitu flani mapema hata kbl hakijatokea...uwezo huo mwanaume hana.
Mf..umerud kutoka kazini na umeongozana na rfk ako flani,lets say wa kiume,na huyo rafiki ako ni mgeni kbs kwa mkeo yaani hajawahi kumuona kbs.Baada ya mgeni kuondoka mkeo anakuambia "Mume wangu huyu rafiki ako naona km sio mtu mzuri,hebu punguza ukaribu nae,naona tu ana shida "..
Ni kweli kabsaaaa na hata mwanaume anazo hizo instincts.Mmh hilo sio jicho ni hisia(instinct) sio jicho
Hahahaha nilitaka niteme povu lakini umeniwahiumeandika mengi ya kushangaza kuhusu wanawake, lakini zaidi ya uwezo wa kuzaa na kuwa mama zetu bado wanawake wanayumba sana..hawafikii hata robo ya machale tuliyonayo wanaume...sitegemei povu
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaNi kweli wanawake wanauwezo wa kuona mbali kuliko mwanaume.
Hili mtoa mada kalisemea.
Nikiwa na rafiki namwona rafiki. Ila mke atamwangalia zaidi ya rafiki.
Hawaeleweki akiinama INAKUJA NYUMA ,akisimama INAKUWA CHINI ,akilala chali INAKUWA MBELE, akilala ubavu INAKUWA PEMBENI , akilalala kifudifudi INAKUJA NYUMA TENA , akichuchuma inaibukia KIMSHAZARI KWA MBELE basis tafaraniWanawake hawaeleweki wapo kama virus wanabadilika kila sekunde.
Hata wao wenyewe hawajui nini wanataka kipi hawataki.
Yaani ni hatari tupu ishi nae kwa akili
