Stori za MagogoniKinyonga wako wanaozaa na wanaotaga mayai.Hao wanaozaa wanazaa kawaida tu aidha juu ya mti au chini kwenye majani au vichaka vidogo,ilo lakuzaa kwakujitupa ili tumbo lipasuke nadhani ni stori za vijiweni tu.
Sio wewe tu, wanawake asilimia kubwa ni waoga wa vinyonga, au kwasababu na nyie ni jamii moja ya vinyonga so mnaogopana... Hahahahahahahahaha am kiddingMimi tangia utotoni tuliambiwa hivo ukiwa mtundu u aletewa kinyonga bila shangazi utakoma. Wamenifanya nimuogope kinyonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo Lushoto Tanga Wengi2 wanaozaa kikawaida kama viumbe wengine, ndio maana tunahimizwa kila cku kufanya utalii wa ndani, mzungu yupo ujerumani lkn anajua Tz Lushoto kuna vinyonga vya namna iyo lkn Mtanzania bdo ameshikilia hadithi za akina AbunuasiMTOA POST NI MUONGO
juzi tu siki 3 zilizopita huku mtaani kulikuwa na ubishi je kinyonga anazaa au anataga .Kwa bahati nzuri nikawa napita nikaitwa kwakuwa nina smart phone nimalize ubishi kwa kuwaonyesha youtube
Tuliona kinyonga wapo wanaozaa na wanaotaga na hakuna kinyonga eti azae ajiangushe kutoka juu ili apasuke ndio watoto wazaliwe na ubishi ukaishia hapo
Story za mababu vijijini mnatuletea hapa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukimaliza hapo Tena via nguo ubaki uchi uone
Na ukimaliza hapo Tena via nguo ubaki uchi uone
Huyu jamaa ni bonge la muongo, mie binafsi nishashuhudia kwa macho yangu kinyonga huwa anataga sasa huyo anayezaa sijui ni kabila gani...Write your reply...
Kuna documentary moja niliona ya kinyonga mbona alikua anataga tena ana chimba shimo aridhini ndo anataka alafu anafukia au hao mabeberu wali edit hyo makala
Sio wewe tu, wanawake asilimia kubwa ni waoga wa vinyonga, au kwasababu na nyie ni jamii moja ya vinyonga so mnaogopana... Hahahahahahahahaha am kidding
Jaribu kula mishkaki yake yenye pilipili nyingi utajuta kwanini hukuanza kula nyama ya kinyonga mapema.Mi namuogopa kinyonga akikunasa eti mpaka utolewe na shangazi loh
Sent using Jamii Forums mobile app
Ctaki hata kujaribu bora nife njaa kinyonga ni sumuJaribu kula mishkaki yake yenye pilipili nyingi utajuta kwanini hukuanza kula nyama ya kinyonga mapema.
Endelea kusema sumu mwenzio hapa nashushia na coca baridiii