Habari wanaJF,
Ni jambo la kusikitisha sana lililotokea na linaloendelea kutokea ndani ya mji mdogo wa Katesh kuhusu malipo ya pango la ardhi. Kuna baadhi ya watu hawadaiwi lakini wamebambikiziwa madeni makubwa ya pango la ardhi.
Wengine wa ploti za nyumba za kuishi lakini yamebedilishwa kuwa...
INCREMENTS
E.8 General:
An increment is an increase of salary within salary scales in which the prescribed amount which is granted annually to holder of posts on incremental scales of salary until the maximum of the scale is reached. In all cases information obtained through performance...
wapendwa wana jf ninamajonzi makubwa sanaa moyoni mwangu kuwa tanzania ninayoipenda sasa nimeichukia.nikimbilie wapi ili moyo wangu upate amani. nilisikia bungeni viongozi wetu wanalalamika juu ya usalama wao. sisi watoto wa makapuku tulalamike wapi. mungu tusaidie maana hatuna pakulilia zaidi...
hongera TLS hongera TUndu lisu kwa kisindo kikubwa hicho. sasa dola la sheria umeishika na tunahitaji mabadiliko ya sheria za tanzania. asante e mungu kwa kuisikia kilio chetu
hivi ma enginear mnapate muda wakukaa ofisini? kazi serilali zinaharibika kwa kiasi kikubwa hivi afu baada muda mfupi mnaanza kutenga fedha tena za ukarabati. acheni huo ushenzi tokeni maofisini mkafanye kazi. msiwaache makandarasi wakajifanyia kazi kama wanavyopenda lazima muwaelekeze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.