MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Dhambi ya usaliti haifi Hata siku moja Kuna siku itakutafuna.
William Mganga Ngeleja Kuna siku ataijutia dhambi ya usaliti.
Kwanini anarudisha pesa leo?
Anatoa ujumbe gani kwa wengine?
Anategemea tutamuelewaje?
Hapana usimlaani sana, ametusaidia kiaina kujua kama kweli serikali imeamua kulitumbua jipu la escrow kwani JK alituaminisha kwamba zile pesa sio za umma, sasa Ngeleja kazipeleka serikalini na wamezipokea ina maana ni za umma! Au ni utakatishaji? Muda utaongea