Si jambo baya na wala si geni, hata hapo nyuma miili ambayo ilikua haipo claimed baada ya muda flani ilikua inatumiwa kwenye research, sema kama nakumbuka vizuri sheria ilikua mwili kama ni wa hapa bongo unatumiwa nchi nyingine, na nchi nyingine wanaleta huku ili isijetokea unaenda kusoma medicine alafu sample inakua mwili wa mtu unayemfahamu. Mtu akifa kafa, kama kuna njia yoyote ya mwili wake kuleta manufaa kwa walio hai sioni sababu yoyote kutokufanya hivyo, basi tu linakua complicated coz linadeal na hisia za watu.